Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Naomba msaada kwa anayeweza kunifungulia router yangu ya voda ili iwe universal Kama upo nitext tuongee biashara Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu amani iwe kwenu Naitaji mtu ambae Yuko vizuri kwenye kutengeneza app Kwa more deatals njoo. Dm
0 Reactions
2 Replies
802 Views
Kama heading inavyojieleza naombeni msaada wenu
1 Reactions
18 Replies
39K Views
Hivi nikitaka ku install Tigo Pesa App ni mpaka niwe natumia intanet ya tigo?!!!! Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habar wanajf naomba mwenye kujua kiundani kuhusu hio processor kua iko vizuri kwa upande wa speed? Na pia hizo herufi QM zinamaanisha nini? Ahsanten Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Tafadhalini jamani anko magu karibu atanilipa hela yangu ya korosho, ili kujipooza na machungu nafikiria kununua TV. Sasa basi nahitaji ushauri wenu ipi TV ambayo nitafaidi quality yake hasa...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza. Naomben msaada jinsi ya kudownload nyimbo katika website hii www.muziki.net kuna nyimbo nzuri hasa old bongo fleva. Tatizo linakuja pale napotaka ku...
0 Reactions
17 Replies
43K Views
Habari za mihangaiko ndugu yangu Nimekuja kwenu naombeni maelekezo yenu kwa kwenye ufahamu Mimi Nina blog lakini inatumia domain name ya WordPress, shida yangu kubwa ninaombeni mnielekeze namna...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari wadau! Nikiwa ofisini kwangu amekuja mteja lakini alikuwa anamajonzi sana, ikabidi nimuulize kulikoni? Akasema mnamo siku ya ijumaa alikuwa na milioni moja na laki tatu kwenye simu...
1 Reactions
59 Replies
13K Views
Habari zenu wandugu,Mimi sijui chochote kuhusu maswala ya website Ila nina wazo la miaka mingi la kuendesha web ya kibiashara kama vile ya kukutanisha wauzaji Na wanunuzi mtandaoni ,(mfano mzuri...
0 Reactions
6 Replies
919 Views
Mapema hivi leo instagram ilipata hitilafu ,Tatizo limetatuliwa kwa mujibu wa uongozi wa mtandao huo Maeneo yaliyoathirika ni uingereza ,ulaya na Marekani. >>>>> INSTAGRAM IMEPATA HITILAFU LEO...
0 Reactions
5 Replies
754 Views
Matumuzi ya KASI ya internet yamefika kikomo endelea kufurahia matumizi ya kawaida. huu ujumbe huwa unanikasirisha sana. Mwenye utaalamu anifahamishe jinsi ya kuondoa huo ukomo wa kasi, internet...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari za mda huu wakuu Me na shida kidogo Nimenunua parcel eBay na nataka ni ship kwa kutumia dhl Parcel inatoka Us but sijaona address za dhl ambazo nitampa muuzaji ili mzigo upelekwe pale...
0 Reactions
13 Replies
5K Views
Jana nilikuwa naangalia mechi kati MAN UTD na MAN CITY kwenye 3D TV CHANNEL, kwa kweli nilichokiona hakikunishawishi kununua 3D TV once zikianza kuuzwa madukani. Sikuona tofauti kubwa sana na...
0 Reactions
57 Replies
9K Views
Hawa majamaa wa startimes ni wababaishaji kweli, yaan simu kwa huduma kwa wateja nmepiga hadi nmechoka lkn hawapokei. Nkilipia kifurushii baada ya wiki1 na nusu kinakata na sio kwamba nalipa nusu...
1 Reactions
32 Replies
3K Views
Habari wadau simu yangu ni Samsung galaxy tab 4 inazima inakuwa ina re boot na kuzima tena hadi naomva ushauri mafundi wameshanilia pesa nikiondoka tatizo linarudi palepale......
1 Reactions
12 Replies
5K Views
Mambo zenu wadau, vipi naweza kuunda Android App kwa ajili ya forum yangu. Naomba msaada wenu.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Natanguliza salamu Naombe kujua jinsi ya kupiga window mpya kweny PC bila kutumia CD na pia ku update au ku upgrades piah kubadilisha mfano kutoka window 8 kwend 10 Asanten
0 Reactions
4 Replies
609 Views
Habari, nilipenda jua kama kuna njia ya kunlock halotel moderm D6601 kama ipo naomba msaada plz.
1 Reactions
25 Replies
19K Views
Avira Antivirus Security is a high security application that protects your phone and tablet. More than just an antivirus program and a malware / spyware cleaner, the application provides...
0 Reactions
1 Replies
597 Views
Back
Top Bottom