Habari za mda huu wakuu
Me na shida kidogo
Nimenunua parcel eBay na nataka ni ship kwa kutumia dhl
Parcel inatoka Us but sijaona address za dhl ambazo nitampa muuzaji ili mzigo upelekwe pale...
Habari zenu wakuu...
Hiki kitu kinaitwa metered connection kinanizingua waungwana...
Niki-connect kwenye WIFI na kutoka, ninaporudi WIFI hairudi na kuniandikia ujumbe kama unavyosomeka hapa...
The latest social media #10yearchallenge is not just about fun – specialist warns that tech giants might exploit it to improve face recognition technologies. For instance, neural network can mine...
Habarini za jion humu ndani.Mimi ni app developer based on android,nina apps zangu kadhaa nimelink na adsense ili kunipatia kipato nashukuru Mungu zimefika dollar kadhaa na google wameshanitumia...
Habari zenu wakuu
Samsung j5 inasumbua sana upande wa Network had ukae mjini kabisa ndi inasaport network japo bado inakuwa iko low sana tatizo limekuwa kubwa zaid hata data aiwaki Nino shida...
Msaada ma technician wa computer PC ninapoichaji ime stack kwenye 4% hata nikiiacha masaa sita bado iko pale pale haiongezeki chaji.nifanye Nini Cha ku fix kabla sijaamua option ya kununua battery...
Nahitaji kutengeneza data backup from local server ( win server 2012) , either cloud backup au remote back up.... database n mysql
Naomba muongozo wajameni
Habari za jioni,
Naomba kujua kuhusu YouTube, kama inalipa na inatakiwa kuwa na sifa gani ili uanze kulipwa na je channel zenye content gani hulipwa? Na kama kuna mtu ana uzoefu naomba atujuze...
Wataalam nawasalimu,
Ninaomba ushauri wa kitaalam kwa size ya wire wa earth unayotakiwa kati ya 1.5 na 2.5 na kuendelea katika ulinzi wa umeme nyumbani. Nina umeme wa 3phase japo matumizi si...
Wakuu pc yangu imezima ghafla tangu juzi na nimejaribu kuangaika na betri ila naona aijazaa matunda nafkiria kushusha window ila pia kuna mtu kaniambia ingekua ni window power ingekuwa...
kuna msg nyingi zinasambaa whatsapp na hata humu jukwaani kwamba simu ambazo hazijakuwa certified na google kutumia service zake zitafungiwa hapo baadae. hii habari ni ya kweli, muda mrefu Google...
Naam ndg wajumbe,
Jana nipo zangu napunga upepo wa weekend baada ya juhudi za kumtafuta dem wangu kwenye sim kugonga mwamba, mara anawasili akiwa na kasim kake ka vodafone kakikwa kame stuck...
Habari za asubuhi ndugu zangu wanajukwaa, mwenzenu niliingia mjini macho juu nikapigwa, niliuziwa simu chini ya mnara kama wajanja wa zamani walivyoita. Niliuziwa simu barabarani ilikuwa inafanya...
sihitaji kuandika Zaidi ila niwape uzi wa download na serial namba:
download app hapa:
Download ESET Mobile Security apk
Download Serial hapa:
Download Key txt
ukiona uzi unamanufaa kwako...
Wifi WPS Connect Premium is a new and wonderful application
Application features
1 - Used in houses, cafes, cafeterias and other private and public places.
2 - Know the secret numbers and...
Nokia wameweka ratiba yao ya kuzi upgrade simu zao kwenda Android Pie yaani Android 9 ambayo ndiyo toleo la sasa.Tayari leo Nokia 5 imeanza kupata upgrade ya Android Pie.
Sent using Jamii Forums...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.