Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Wakuu hii ina maanisha nini kwa funs wa tecno? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Nina simu yangu tecno W3 tatizo lake limeanza siku tatu zilizopita. Tatizo la kwanza ni mtu akinipigia simu inakata na inaonesha line busy,je shida inaweza kuwa ni nini?
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Wakuu kwaninii whatsap iwe inatumiwa sana hali ya kuwa huwezi kuitumia moja kwa moja kwenye pc mpaka uwe an application nyingine au uwe na simu ya whatsap uscan code? tofauti na telegram ambao...
3 Reactions
75 Replies
12K Views
Wakuu nimetoka kununua TV lakini kila nikiangalia sioni sehemu ya AC Wana technolojia msaada hapa.. Kama inavyoonesha kwenye picha Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
73 Replies
10K Views
Hii thread no kwaajil ya watumiaj wa YouTube subscribe account yangu haraf attach screen shot na link nakusubscribe back My channel
1 Reactions
0 Replies
400 Views
Wadau, Nimeweka CCTV camera kwenye kibiashara changu lakini nakabiliwa na changamoto moja kubwa.Nahitaji kupata njia ya kitaalamu ya kuweza kufanya tathmini na kujua kinachoendela bila kukodelea...
0 Reactions
1 Replies
873 Views
Bee.G.E.K: Maji ya Mto hukabiliana na vikwazo mbalimbali lakini huwa haviuzuii maji kutiririka. Mto unapokutana na Miamba, hata siku moja hauwezi kujadiliana na miamba eti upiteje, bali...
3 Reactions
0 Replies
3K Views
Ngoja nikukumbushe Haswaa Nyakati hiz za Technology zimeharibu mambo mengi sana Tanzania. Wanawake wenye akili wasio na elimu walizaa na kulea ma Professors. Nyakati hizi wanawake wasomi...
0 Reactions
2 Replies
784 Views
Msaada wadau natumia laptop yenye Windows 8.1 pro mwanzoni nilikua napata antvirus yenye serial keys ( AVG) ambayo Ilikua strong sana. Lakini hivi sasa wameficha keys zake hivyo napata ya mwezi...
3 Reactions
17 Replies
2K Views
Msaada wakuu naomba kujua nawezaje kudownload kwa Wi-Fi ya jirani maana naikutaga mara moja moja.. nataka niitumie muda wowote
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wapendwa Kama kichwa kinavyosema, mimi nahitaji kuwa na website ya Kanisa nasema mimi kwa vile nikiongozi, ni mambo gani niwe nayo ili kuweza kuwa na web? Je ni gharama kiasi gani kufungua, kifupi...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Wanaohitaji expire date 23/12/2023 tuo8 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
563 Views
Huenda mambo yako hayajakwenda sawa kwa miezi nane iliyopita iwe kimahusiano au kiuchumi. Ila hilo lisikuumize na kukusononesha. Mungu anazo opportunity nyingine nyingi mbele yako kwa mwezi huu...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Nahitaj dish la dstv au ni dish gan nitapata mpira hasa wa majuu na bongo movie Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
5 Replies
763 Views
Haswa Nyakati hiz Technology zimeharibu mambo mengi sana Tanzania. Wanawake wenye akili wasio na elimu walizaa na kulea ma Professors. Nyakati hizi wanawake wasomi wanashindwa kuzalisha vizazi...
0 Reactions
2 Replies
668 Views
*DISCOUNT KAMA LOOTE YANI* Domain name za .com zipo kwa Tsh 15000/- tu mwaka mzimaa [emoji857][emoji857] Njoo na email yako ili upate credentials zotee za domain [emoji12] *_Ni Limited offer...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Ile button ya kuwashia inawaka na kuzima,pia computer yenyewe inatao muungurumo mkubwa Kama gari yenye mzigo inavyopata shida kupanda mlimani, msaada waungwana Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Nisaidieni laptop yangu dell nashida! Haiwaki kabisa! Ilianza hivi, Hii laptop betri ilikufa kitambo nkawa naitumia direct kwenye umeme bado ikafanya kazi kwa miez kadhaa baada ya hapo ikashndwa...
0 Reactions
1 Replies
462 Views
application data recovery kirudisha kila kitu ulicho futa ktk simu au sd memory: تحميل datarecovery apk
0 Reactions
1 Replies
665 Views
Wakuu habarini za majukumu. Naombeni kujulishwa Vyuo vinavyofundisha Masomo ya Teknolojia Kwa njia ya mtandao, gharama ziwe affordable kwa life yetu hii, lakini pia ni kozi ipi itanifaa zaidi...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Back
Top Bottom