Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Habari wakuu. Sim yangu Tecno W5 Lite, nikipigiwa sim anayepiga anaambiwa Sim busy. Nimejaribu kuangalia Diversion ziko inactive. nimejaribu kutoa Line kuhamishia sim nyingine imefanikiwa kupata...
1 Reactions
18 Replies
7K Views
Habar wakuu Samahani naomba kujua fursa za kazi za kimtandao( Online jobs) mwenye ideas na mzoefu wa fursa hizi tufundishane ili tupeane ajira! Mm niko interested Sana na hizo $ mtandaoni ila...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
  • Closed
Habari wanajf naomba mnisaidie jinsi ya kuona text na calls,nahitaji kujua kama mpenzi wangu ananicheat au hanicheat,samahani naomba mnisaidie ndugu zangu.
2 Reactions
42 Replies
52K Views
Naombeni Masada wa kupata namba ya simu inayotumika kwenye simu iliyoibiwa Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
516 Views
Wakuu poleni kwa majukumubya kuijenga Nchi yetu changa,naomba kujuzwa aina gani ya Apps nzuri ya kuchunguza kinachoendelea katika simu ya kijana wangu,mahitaji yake ya Chuo siku hizi yameongezeka...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu, Nipo dar wapi kuna maduka ya electeonics ambapo nitapata arduino na gsm control
0 Reactions
3 Replies
1K Views
nokia jana wametoa version za nyongeza mbili kwa kitochi kipya. inamaana kitochi kipya kitakua na version 3. nokia 105, 106 na nokia 107. so kipi cha muhimu? simu zote zinafanana kila kitu...
4 Reactions
38 Replies
8K Views
Jamani nimehangaika sn kupata hili game. Naomba mwenye kupata maana huwa napata trial tu Natanguliza shukrani Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Naombeni msaada wanajamvi kama heading inavyojieleza
0 Reactions
6 Replies
918 Views
Habari wakuu? Simu yangu inavirus wengi nataka kuifanyia factory reset Ila nakumbuka Mara ya mwisho ililetea option ya kutumia WiFi ndoinakubali mpk nikataguta kwenye WiFi ndo nikafanikiwa .Kwa...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Habari ya leo wakuu! Kutokana na shughuli zangu nahitaji mtandao wa intaneti ya uhakika pia kwa kasi kubwa. Nipo Geita mjini pia ninatumia mtandao wa Halotel kwenye 3g Huawei wifi router yangu...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
1T TRANSCEND Condition used Bei 100000 Sent using Jamii Forums mobile app Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
423 Views
Kwa yyte mwenye pc yenye specification zufyatazo RAM 4GB HDD 500GB PROCESOR 2.3+ KUBWA KIAS HP,ACER,DELL AU TOSHIBA isiwe nene sawa iwe nyembamba kias Weka picha tufanye biashara Sent using...
0 Reactions
5 Replies
889 Views
Mimi ni mwanafunzi wa kidato cha nne, kuna project nataka nifanye ila sijui wap pa kupata microcontroller na gsm control Naombeni msaada wenu 0687311340
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wadau naomba mwenye product code za FIFA10,naamini humu ndani zitazipata,natanguliza shukrani
0 Reactions
1 Replies
534 Views
N.B naombe wale wa kuanza na maneno ya dhiaka kuwa tecno sio simu wapite kushoto. Natumia tecno w4 imenizimikia ghafla na nikiiweka kweny chaji inawaka tu kitaa chekundu ila haioneshi kama...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Nina note 8 i Yakwangu ime krack kioo,gharama za matengenezo ya display nimeambiwa ni laki saba. Nafikiria kuuza utumbo wa hiyo simu yaani mashine shida imekaa muda mrefu parten yake...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Wakuu ninamiliki tablet ya Vodacom kwa kipind kisichozid miez kumi, sasa imeanza tatizo la kugoma kupiga simu azitoki lakin nikipigiwa zinaingia vizuri tu na Huduma zingine inafanya kama kawaida...
1 Reactions
17 Replies
4K Views
PC YANGU NIKICHOMEKA CHARGER INAJIZIMA.. NAOMBA MSAADA PLZ Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
4 Replies
617 Views
Application nzuri ya kudownload movies mpya iliyokua haichukui mb nyingi Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
3 Replies
656 Views
Back
Top Bottom