Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Za jioni wadau, Poleni na mihangaiko ya leo. Ni sehemu ya maisha... Nimekuwa nikiwaza - wenzetu Rwanda na Kenya washazindua second level domain kwa ajili ya kuandikisha tofuti zao. Kwa mfano...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
NI VIGEZO VIPI NITUMIE KUJUA UBORA WA PC/LAPTOP? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ndugu mwenye kufaham jinsi ya kupata program za kutengenezea 3D picture za computer na za adroid naomba maelekezo Ahsante Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
406 Views
Jamani nina shida ya laki 3 na nusu Nauza Laptop ni compaq Ram 2gb Kwa aanyehitaji tuwasiliane hapa au PM
0 Reactions
0 Replies
759 Views
Wakuu naombeni msaada wa kiufundi au hata ushauri Desktop yangu ana ya dell haisupport usb yoyote hivyo haikubali mouse wa keyboard sijajua nafanyaje maana nilipeleka kwa fundi kuwekea Ram sasa...
0 Reactions
45 Replies
3K Views
Mwlm Rtc nawengineo, HV nikwann unapoangalia TV ukiwa karibu zaidi rangi inakua mbaya? Tena unakuta afadhali Tena ya chogo! nawasilisha. msaada tafadhali.... nmeangalia TV nyingi sana
1 Reactions
116 Replies
13K Views
Na site yangu ya kuuza na kununua inamuonekano huu kwa mbele sasa nataka niziondoehizi categories zinazoonekana hapa mbele sababu tayari zipo zinaonekana hata kwenye menu icon mtu akiclick pia...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kuna playstation 3 nauza kwa bei chee ya 250000 nicheki pm ipo Arusha nakupa na pad zake mbili na game kama fifa 2019, pes 2019, pamoja na mission games kibao
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wanajf nadhani nyie ni wazima tena sana heri ya mwaka. Sasa mimi naomba ushauri wenu nina website ila naitangeneza so sijui jinsi yakutengeneza zile emails zake mf. Info@tecnoimages.com Sales @...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
habari za mihangaiko wakuu??? naombeni msaada wa kuna namba inasumbua sana mpaka naona kero nahitaji kwa anae fahamu namna ya kuifunga isinisue nifanye vipi ili kuizuia, au ni namba zipi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hii ofa imekaa kii ndezi sana eti mb 500 afu ni bola wangefanya Mb 500 bila kuzigawa, kwasababu hapo hakuna tofauti na kile kifurushi ya siku wanacho kupa Mb 300 Note; hii menu *148*55# ni...
1 Reactions
92 Replies
8K Views
REDIO YA KIDIGITALI Waungwana naamini hamjambo. Ni miaka 7 sasa tangu tubadili TV za analog na kuingia kwenye TV za digital. Yaliyojitokeza tutakuwa tunayakumbuka ambapo mengine yamekuwa na tija...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Jamani wana JF nina tatizo langu ambalo nimejaribu ku-google nikashindwa kuelewa namna gani naweza kufanya. Naombeni msaada wenu kwa yeyote yule ambaye anafahamu ni njia gani ambayo naweza...
0 Reactions
8 Replies
7K Views
Habari wana jamvi. Swali langu naulizia kama kuna kampuni za kitanzania ambazo ni za kuaminika. Wanaweza kutengeneza software mfano apps na sysytem za kulink mteja na mtoa huduma. Nataka...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Wana JF naombeni Msaada wenu VPN kwenye maswala ya internet ina kazi gani? Kwa upande Wangu nilikuwa nataka kujisecurity yani napokuwa nafungua website yeyote kwa kutumia smart phone Yangu...
1 Reactions
87 Replies
31K Views
Hello technologist, I would like to hear technically from you, how is goverment could be able to shutdown imternet acces? tumesikia kuwa DRC congo has shutdown internet acces to their country to...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Hizi laptops kwenye maduka mengi ya hapa town huwaga na bei ndogo sana ukilinganisha na bei za online stores za kidunia kitu ambacho kinaumiza kichwa sana. Kwa mfano laptop kama HP yenye...
2 Reactions
22 Replies
5K Views
Nimepoteza kitambulisho changu cha kura Nahitaji Sana kupata namba zake za kitambulisho Maana niza mhimu Sana kwangu Kwa anaejua hilo Naomba anisaidie Natanguliza shukrani Sent using Jamii...
0 Reactions
1 Replies
959 Views
UTORRENT TURBO BOOSTER 4.0.5.0 FULL VERSION FREE DOWNLOAD This tool comes equipped with modern technology that aims at getting your download speed way up so you can grab the files you want so...
0 Reactions
20 Replies
12K Views
Hello technologist, I would like to hear technically from you, how is goverment could be able to shutdown imternet acces? tumesikia kuwa DRC congo has shutdown internet acces to their country to...
0 Reactions
4 Replies
924 Views
Back
Top Bottom