Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Habarini nina simu aina Ya Microsoft Lumia 640 xl dual sim ina window 10, Ram gb 1 na 8Gb space yake, kwa mwenye interest nayo anaweza nicheki nikamuuzia ama tukabadilishana nahitaji simu ya...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Iphone 6s 64gb rose gold Bei 480k
0 Reactions
4 Replies
914 Views
Naomba ufafanuzi Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Jamani Wana JF naomba msaada wa kupata softwares za Adobe kama nne hivi, Primeere Pro, Illustrator, After Effects. For free, Maana kuna ambazo nilizipataga kwa mdau zikawa zinataka licence key So...
0 Reactions
39 Replies
39K Views
Wandugu habari za mda huu? Kama kichwa cha habari kilivyo,naomba iwapo kuna mtaalam wa ku UNLOCK Modem ani pm tuongee biashara. Nina MODEM yangu aina ya Huawei na ni ya Zantel nataka ni UNLOCK...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari Wana jf, nauliza ikiwa inawezekana kutumia flash Kwenye king'amuzi badala ya deki. Na kama ni ndiyo ntafanyaje, natumia Starting Msaada pliz Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
4 Replies
7K Views
Wakuu Kwema? Habari za Weekend? Ninahitaji Software ya Kuandika na Ku-Print Hundi (Cheques). Nimejaribu ku design from MS Excel na MS Word lakin naona kama haitotoka kama navyotaka. Ningepata...
1 Reactions
20 Replies
3K Views
Habar wana jf naomba kujua namna gan naweza kublacklist namba ya mtu au kublock kabisa mwenye kujua naomba msaada Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Nahangaika kutafuta smartphone nzuri kwa ajili ya matumizi kadha wa kadha. Napata pm nyingi za wauza tecno na Infinix. Sipo tayari nipoteze hela yangu (japo ni kidogo ) kanunua tecno au Infinix...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Ina window 10 professional nmesahau password naombeni msaada wenu tafadhar Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wakuu Mambo vp? Kwanza kabisa heri ya mwaka mpya!! Kabla ya kwenda kula bata naomba tuelekezane hapa namna ya kufanya apps zote ziwe katika dark mode, naamini kuna wataalamu hapa wa kutosha...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari humu!! Hi post pia nitaiweka na kule kwenye jukwaa la elimu sababu pia inahusu masula ya elimu. Ningependa kuanza moja kwa moja kwamba nimetengeneza app hii kwa ajil ya kumsaidia...
3 Reactions
2 Replies
3K Views
Wakuu hili Joto la Dar naona kama limenizidia fan zinachemka... Je AC gani zinafaa kwa matumizi ya nyumbani na ulaji wa umeme ukoje pamoja na bei?
2 Reactions
5 Replies
6K Views
Ninatafuta mtu mwenye Display/Kioo cha Tecno F1. Kiwe kizima
0 Reactions
0 Replies
582 Views
Habari za muda huu wakuu Nina shida nahitaji msaada wenu. Siku ya jana nilipitia pitia kupatana nikakutana na simu ya iphone 5s, nikaipenda but sina idea sana na iphone. Basi nikaonana na...
0 Reactions
47 Replies
7K Views
Wakuu ongereni kwa kufika 2019 Aisee natafuta huu mzigo kwa ajiri ya vijana wangu wa kazi tujiandae na kampeni za uchaguzi wa serikali za mitaaa. Uko Dar ntaupata wapi na bei yake ikoje? Thanks...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari wakuu Nina SHIDAH NA sales software AMBAYO naweza register products , tengeneza quote , delivery note. NA invoice Naombeni msaada
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Happy new year wapendwa wa JF natumai wote tunafurahia kuupokea mwaka Naomba kufahamu ni program gani nzuri ya computer ambayo unaweza kuedit picha nzuri ikiwa na autofocus ya ukweli Maoni yenu...
0 Reactions
12 Replies
10K Views
Tokeni huko mara matecno,mara Samsung mara iPhone .Nokia 2 MPs ni Sawa 10 MPs ya camera ya tecno Sent using Jamii Forums mobile app
3 Reactions
66 Replies
14K Views
Habari wanajamvi! Natumia simu aina ya Tecno Spark K7, kwa siku kadhaa nimeshindwa kutumia app ya Facebook kwa sababu inanipa pop up notification kwamba kuna matatizo ya mtandao kwenye simu yangu...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom