Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
jamani wana jf naomba msaada simu yangu tecno f2 inaniletea mapichapicha mara SYSYEM UI ISN'T RESPOND, mara app ianze moja moja kustop msaada jaman Sent using Jamii Forums mobile app
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Notebookcheck Reviews...   HP EliteBook x360 1030 G3 Review  Dell G7 15 Review  Honor 10 Review ⟩ Qualcomm Snapdragon 425 (MSM8917)  The Qualcomm Snapdragon 425 (8917) is an ARM-based...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wakuu ninaomba msaada wa kurejesha picha nilizohamishia kwenye pc kwa cut and paste mana kwenye pc zinakuja na size ya 6gb halafu ukifungua zina goma kuview, any tools guys that is helpfull to...
0 Reactions
2 Replies
778 Views
Habarini Wakuu! Msaada kama Kuna Application yeyote ya Kupakua (Download) Movie. Binafsi kama wengi walivyo na Ugonjwa wa Kupenda Soka namimi Movie ndiyo Ugonjwa wangu! Hizi njia zingine...
1 Reactions
20 Replies
2K Views
Naombeni majibu kuna ukweli hapo...? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
9 Replies
2K Views
msaada flash yangu ukiweka faili kubwa kama movie haisomi inaandika file empty ila size inaongezeka, mafaili madogo ya pdf inasoma ina uwezo wa 64GB
0 Reactions
34 Replies
2K Views
Mwaka 2016 TV yangu iliungua baada ya radi kupiga shot toka kwenye Decoder ( nadhani ilianzia kwenye dish ikaletwa kwenye decoder hadi kwenye TV. Nlipopeleka kwa fundi akanambia TV Card imeungua...
3 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wakuu, Naomba kuuliza; je simu ya tecno camon cx ina ubora huo wa camera ambao wanaunadi, Je ni simu ipi ya Infinix ambayo in camera nzuri?
1 Reactions
231 Replies
37K Views
Dhl
Habari za mda huu wakuu Me na shida kidogo Nimenunua parcel eBay na nataka ni ship kwa kutumia dhl Parcel inatoka Us but sijaona address za dhl ambazo nitampa muuzaji ili mzigo upelekwe pale...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hello ndugu zangu habari! ! naomba msaada wa kujulishwa jinsi ya kuset laptop yangu nikichomeka headphone sauti ibaki kwenye headphone peke yake sababu sasaivi nikichomeka sauti inakuwepo pande...
0 Reactions
1 Replies
587 Views
Habari za muda huu, wadau naomba kujuzwa je, sheet moja ya kioo (clear na one way) kina ukubwa gani Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
500 Views
Ndugu habari za mwisho wa mwaka. Nimetumia doc(picha) kwenye whatsap nikmthibitishia aliyetuma kuwa nimezipata,lakini nilikuwa bize na majukumu kwa kipindi hicho.Leo nimejaribu kuzifungua...
0 Reactions
1 Replies
628 Views
habari wakuu wa jukwaa hili nimekuwa nikifuatilia uzi nyingi kuhusu adsense leo nimefanikiwa kuweka adesense kwenye blog ya kiswahili kutokana na muongozo wenu japo sina uhakika kama adsense hii...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
kumekua na aina mbali mbali za chipset katika simu ningependa kujua zipi nzuri. mfano nazozitambua ni adreno cortex, snapdragon, media tech. ningependa kufahamu zaid. kwa uezoef wangu snapdragon...
1 Reactions
1 Replies
969 Views
Kwa yeyote anayejua code za kuiblock lain ya voda ili isipatkane kwa mda
0 Reactions
4 Replies
7K Views
Wakuu natumia window 10 na Ubuntu kwa pamoja,, window inatoa sauti nikiplay audio or video lakini Ubuntu haina sauti kabisa..tatizo nini...msaada wana jamvi
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nauza Laptop Yangu Hiyo Nikiyokuwa Naitumia Kwenye Kazi Za Ufundi Laptop Na Simu. Kwa Wale Wanaotaka Kujifunza Au Kuendeleza Ufundi Hii Itakufaa, Mimi Niliitumia Chuo Na Nilikuwa Nawapiga Piga...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Mambo yamekuwa mambo, google wamekuja na kizuizi kipya kinchofanya AdSense iwe sio ya mchezo mchezo. Kuna wale ambao hawanaga AdSense na wana shida nazo na kuna kwenye account za AdSense ambazo...
3 Reactions
1 Replies
600 Views
Habari zenu ndugu zangu? , nadhani kichwa chajieleza, Naombenj kjjulishwa Kamojni nzuri ya ku host website yangu, we na bei nzuri, Asante, Domain ninayo tayari, nachotaka ni kuhama tu,
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Asbui adi mida ya Jioni mnakuwa vzr sana ktk internet ikisha fika night mnayumba kama dela . yaani hamna kitu mtandao unakuwa chini sana hata kufungua jamiiforum nikwambinde sana. Naupenda sn...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Back
Top Bottom