Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Naomba kuuliza namna ya kubadili profile yangu ya jf full mpaka jina
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Habar wana jf pc yangu vent zake za kupumulia ziko kwa chin kidgo kias kwamba inapelekea sometime ina over heat then inazima ukiwasha inaandika kua ilizima ku-avoid over heat nilikua nauliza...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wakuu habari zenu. Heri ya sikukuu na poleni na majukumu ya kila uchao. Matumaini yangu mu wazima wa afya pamoja na familia zenu. Msaada wenu tafadhali ili nami sikukuu yangu iende mswano...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Naomba tujuzane zipi au ipi ni blog nzurii ya kielimu ambayo inatoa materials/notes nzurii za kujifunzia
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Imani yangu ni kuwa humu huwa sikosi majibu fasaha. Mimi si mzoefu wa tech devices. Nimengojea sana azam wafufuke imeshindikana. Nisingependa kununua tena kingamuzi kingine. Naomba anayejua hii...
0 Reactions
2 Replies
860 Views
Naomba mwenye ekyc ya TTCL anitumie tafadhali
0 Reactions
6 Replies
868 Views
Naomba ushauri kutokana ukweli kwamba cna nina bujet ya lak 3 je ninunue simu hiyo. Kamera nimeona ni megapixel 13 backward na front 5mp
1 Reactions
78 Replies
18K Views
Wakuu, kheri ya Xmass na mwaka mpya, Niende kwenye maada ni kwamba nina kompyuta ya lenovo kila nikiunganisha Wi-fi hotspot ya simu inaconnect vizuri ila tatizo nikiingia youtube inaplay kama...
0 Reactions
2 Replies
807 Views
Waungwana ivi tv flat ya sola inch 21 au 22 napata kwa bei gan
0 Reactions
0 Replies
549 Views
Refer to the heading
0 Reactions
19 Replies
1K Views
Natumia ucbrowser kufungua Jf ,hivi kunauwezekano wa kuhamisha taarifa zangu zote kwa kutumia chrome huku nikiwa nimesahau password,yaani bila kujisajili tena?Naomba mwongozo
0 Reactions
0 Replies
730 Views
Wadau nina TV aina ya TCL ambayo ina channels za ndani kwa ndani kama hizi FTA channels za hapa kwetu, Emmanuel TV, Citizen, BBC World, KTN, Hope Channel, Aljazeera, Uhai TV n.k. na pia radio...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakuu mimi nataka kuanza kupiga picha kwa level ya chini, yaani mpiga picha wa kawaida tu na nina budget ya Tshs 800,000 sasa naomba kujua mambo mbalimbali kuhusu camera na kupiga picha. 1. Kwa...
2 Reactions
58 Replies
14K Views
Habari zenu wana JF?Naombeni mnisaidie juu ya namna gani ya solve hili tatizo la laptop keyboard kuto kutype while kwenye kuingiza password inakubali ,Laptop ni aina ya Latitude 6500model
0 Reactions
5 Replies
986 Views
Ndugu kuna ubishi umetokea mtaan kwamba simu aina ya tecno ni fake ,wengine wakidai ni orignal .hapakuwa na evidence yoyote ya kuweza kuproove zaidi ya kuangalia IMEI bhasi.wanajamvi kwa mwenye...
3 Reactions
238 Replies
31K Views
Habari ya mda huu wanajanvi, kama kichwa cha habari kinavyo jieleza apo juu ,naitaji msaada wa kufahamu application nazoweza kupakua series zilizo tafsiriwa kiswahili.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu kama mnavyojua hzi simu zetu nyingi za sasa (Smartphone) , huwa mtumiaji hawezi kusikiliza FM radio pasi kuwa na earphone/headphone.. So, naomba kufahamishwa hapa.. Ni App gani/zipi za...
0 Reactions
10 Replies
5K Views
Brand nyingi zinazotumia mfumo endeshi wa Android hazina tofauti sana, zaidi ya mabadiliko (updates) kwenye hardware, mimi natumia Samsung Galaxy S2 ni toleo la 2011 miaka 7 nyuma, lakini nimeweza...
3 Reactions
68 Replies
9K Views
Movies za wana ICT Ingawa wengi wetu wamekuwa wakifikiria sisi wana ICT tunaongoza kwa ubusy na hatuna muda wa kufuatilia mambo mengine,ukweli ni kuwa hilo sio kweli.Kuna wakati tunakuwa na muda...
0 Reactions
25 Replies
4K Views
Back
Top Bottom