Wadau, nimekutana na mambo ya hd tv antenna kwamba unatumia bila kuwa na decoder kwa nchi za ulaya, wataalam wa hii kitu msaada tafadhari kwa nchi za africa antena ipi nzuri?
Habarini
Naitaji mtu anielekeze vitu vichache katika develeopment ya mobile App.
Binafsi mm bado najifunza japo nimeshatengeneza application yangu & imafanya kazi vizuri tu.... ila nilikuwa...
Amani iwe pamoja nanyi ndugu zangu. Naomba msaada kwa mwenye uzoefu wa kuagiza bidhaa kama smartphones kupitia dhl, Maana niliagiza simu na simu imefika kweli , ila Ushuru nao ambiwa nilipe ndio...
I upgraded my combo to a new firmware release on 17th December, 2018 but my 76e channels refused to open. Despite receiving audio from the same channel. My Diva used to open but not anymore...
habari zenu wakuu,,
hivi hii propeller ads ipoje maana sielew yaani site yangu ina visitors kama 5000 kutoka USA na UK lakini earnings zangu ni 0.001$ ebu mwenye utaalam kidogo...
" *THE USE OF INTERNET*"
[emoji1702][emoji1702] Using mobile phone ( smartphone ) is now a worldwide unescapable routine.
Researches prove to show that the World is now like a single village...
Habarini
Mara ya Mwisho Nilifanikiwa Kuinstall Window 10 katika Computer yangu ya Lenovo Lakini changamoto kubwa ninayopata ni kuwa Siwezi Kuinstall Application Yoyote ilee hata nikiweka Kwenye...
Habari zenu wadau, Nina iPad first generation nataka kuinstall applications inashindwa sababu ni older version naomba ufafanuzi vipi naweza ku upgrade kama inawezekana au kama kuna mtu mtabe wa...
Nifanye nini kutatua tatizo hili.
Natumia windows 7 bit 32
Inaandika "The application was unable to start correctly (0xc0000005). Click oOk to close the program.
Hii ni kila nikijarbua kufungua...
Amani iwe nanyi!
Nahitaji kuweka dish la FTA ila nataka niweze kupata channels nyingi zaidi bila kulipia kila mwezi. Dish la kawaida la FTA hapa Moshi linakuwa na channels kadhaa za hapa nchini...
I upgraded my combo to a new firmware release on 17th December, 2018 but my 76e channels refused to open. Despite receiving audio from the same channel. My Diva used to open but not anymore...
Wakuu mwenye uelewa mzuri wa laptop ninataka kununua laptop kati ya shi. 500000-600000 .nisaidie ni laptop ip ni nzuri na wakati nanunua nitaijuaje kama ni yenyewe.
Habari Geek
Nimekua nikikumbana na tatizo la adpter ya pc(dell) kuunguza waya wa kiungio unaoelekea kwenye switch ya umeme nimejaribu kubadilisha waya mara kadhaa kwa kudhania nayoumia sio OG ila...
Habari wakuu??
Leo naanzisha uzi huu maalumu kwaajili ya kupeana Trick kwenye game la dream league soccer 2018 ..
Uzi huu utakua endelevu Yaani shida zote Na Maujanja Ya Dream league soccer...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.