Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
wakuu wale wajuzi mtusaidie namna ya kutuma sms kama za mitandao tajwa hapo Juu, mf unamtumia mtu text labda ina someka Hongera...
0 Reactions
6 Replies
7K Views
Kuna anaye jua option nzuri yakununua pc casing kwasababu shipping ni expensive kati cases zipo zinauzwa bei poa. Option kama easybuy, myus sema cheaper. China zipo cases nyingi nzuri sana sema...
0 Reactions
2 Replies
864 Views
wadau naomba kueleweshwa suala zima la oil.... mfano watumia gari dogo ist...unakuta unaaambiwa weka oil flan ya km 3000 mara mwingine oil hii kma 50000 mara ooo oil hii nyepesi sana si...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
jaman naomben kama kuna mtu yeyote anae jua app kwa ajili ya kuboost likes kwenye facebook na inster plz
0 Reactions
0 Replies
849 Views
1. Jinsi ya kucheki IMEI(International Mobile Equipment Identity) feki za simu za kichina Ujue IMEI namba ni muhimu sana kwa security ya simu yako pindi inapoibiwa. Sasa hapa bongo kunaa mobile...
1 Reactions
3 Replies
6K Views
natumia linux elimentary ila tatizo linakuja pale napotaka play game inashindikana na nimesha danload apps zote zinazo husika na kurun game ila napo fungua option ya ku add non listed programe...
0 Reactions
4 Replies
858 Views
Nimekuja apa kushare nanyi maana wengi hawajajua vzr 1) Fungua google maps 2) Search sehem unayotaka kwenda Apo utaona options za barabara nyingi tu 3) select unayotaka kupitia Baada ya apo...
3 Reactions
5 Replies
1K Views
WAZO: Tanzania Developer Forum Nimekuwa na wazo la kutengeneza forum kwa ajili ya developer wa Tanzania, lengo la hii forum itakuwa ni kujifunza (learn) kufanya majadiliano (discussion) na...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
jamani naomba mnisaidie software iliyotumika kutengeneza ile clip ya konki konki master ya wasafi Tv au software inayoweza kufanya kazi kama ile
0 Reactions
0 Replies
628 Views
Hello guys, Uhitaji wa internet unazidi kuwa mkubwa kadri siku zinavyosonga mbele, Kumekuwa na changamoto hivi karibuni ya kupata vifurushi vinavyokidhi thamani ya pesa (gharama nzuri + ubora wa...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Nenda Levels.fyi kuona mishahara ya Google, Facebook & Microsoft
2 Reactions
12 Replies
4K Views
habari wadau, naomba anayejua Application ya radio nayo weza ipakua kwenye simu yangu ya Smart phone (Xiaomi) na kuweza kuitumia bila kuwasha data, maana nimeona nyingi zinataka uwashe data kwanza...
0 Reactions
16 Replies
7K Views
Msaada wakuu Hapo nashindwa kuiadd hiyo unallocated kwenye C.Nimejaribu kuweka softwares za kufanya hivyo ila mwishoni inataka nilipie kwanza ndio iendelee na mimi sitaki kutoa hela.. kwahiyo...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Kama heading inavyojieleza. Mtandao upo vizuri kwani mambo mengine nayafanya vizuri tu ila kudownload app kwenye playstore ndo yawashida inaload tu kwa muda mrefu.Msaada kwa anayefahamu chanzo cha...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Kila simu ya mkononi ina IMEI ambayo hubaki kwenye saver za TCRA kila simu inapopigwa. TCRA wanaweza kuona kama simu iliyoibiwa inatumika na sehemu ilipo. Simu yangu Iphone 4 imeibiwa na IMEI...
1 Reactions
34 Replies
4K Views
Hasa kwa wale wazoefu na simu za tecno, kuna simu ya tecno spark2 hii simu nimejaribu kuulizia maduka tofauti ya sehemu moja cha ajabu nmepata bei za aina tatu tofauti 230k, 250k, na 290k...
0 Reactions
1 Replies
670 Views
Hey jf naombeni msaada wenu wandugu kama kuna mtaalam wa IT anielekeze namna gani ya kuhack mawasiliano kwa maana akipigiwa mtu simu mfano wife na mtu mwngine basi namm nipate kujua kwa kuisikia...
2 Reactions
134 Replies
27K Views
Kumekuwa na vijana wengi siku za hivi karibuni wanataka kujaribu bahati yao katika ulimwengu wa kujiajiri na blogging, hivyo nimeona nisiwe mchoyo kuwapa ujuzi nilionao ambao utawafanya bloggers...
8 Reactions
14 Replies
3K Views
habari za mchana wapendwa, Nimewiwa kuanza post hii, nikizingatia kuwa tuna wataalam na wanataaluma wa web design/development humu ndani. Nilitaka kujua, unatumia mbinu gani kutengeneza website...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nahitaji Tecno Winpad 2 ambayo ina 4G na WIFI pamoja na adapter converter (HDMI to VGA au USB to VGA) kwa ajili ya kutumia na LCD Projector. Au Tablet nyingine yenye sifa kama hizo. Winpad ina...
0 Reactions
1 Replies
710 Views
Back
Top Bottom