Habari wadau?? PC yangu inasumbua internet nikiconnect kwa kutumia modem au simu, connection inakubali shida inakuja nikifungua hata Mozilla ili nisearch inaandika problem loading. Natatuaje hilo...
Una emergency yoyote na unahitaji pesa kwa haraka? Unahitaji mkopo? BRANCH ni Application iliyoanzishwa na Mzungu kutoka Marekani inayotoa mikopo direct kwenye simu yako. Unachohitaji ni...
Habari JF.
Ni habari njema kwa watumiaji wa service ya TOVL kwa ajili ya kusoma vitabu online, na sasa wameamua kuachia toleo lao kwa watumiaji wa simu platform ya android .
Ni jambo jema sasa...
Kama jinsi mnavyo fahamu simu original ni bei sana na wafanya biashara wanapo amua kufanya biashara wanaangalia ni wapi kwenye urahisi.
Mm kama fundi nimeweza kugundua kwamba simu nyingi ambazo...
salam zenu nyote.nna simu yangu ya samsung j2. inazima ghafla hata ina asilimia 50 za betri chaji.
sasa anaejua tatizo anisaidie maana betri ina mwaka 1 na ipo safi tu kimwonekano.
pia labda kama...
Kwa wale watumiaji wa simu za Android nimewaletea Application bora zaidi ya kusikiliza radio Online inaitwa Online Radio, baadhi ya radio unazoweza kusikiliza live ni pamoja na hizi:
Radio One...
Naona simu yangu inastuck kila muda nilidowload baadhi ya antivirus ila zilikua na ads kama zote pop-up kila muda na maapplication mengii MSAADA [emoji22][emoji22][emoji22]
Habari wanabodi? Tumai mu-wazima afya njema. Leo napenda kuuliza kuhusiana na gari Aina ya Tesla model 3. Je, tuna vituo vya kuchajia magari ya namna hii? Barabara zetu zinasapoti mfumo wa magari...
Wakuu naomba msada PC yangu aina ya HP elitebook inastack sana, nikiitumia ndani ya muda mfupi inastack kwa muda then inarudi kawaida baada ya dakika kadhaa inastack tena, kitendo hicho...
Habari zenu Wakuu, ni tumaini langu hamjambo.
Napenda nijuzwe, yeyote anayefahamu njia za kudhibiti wizi wa mafuta kwenye magari makubwa, naomba anielekeze inavokuwa.
Natanguliza shukrani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.