Wakuu habarini za mchana, moja kwa moja kwenye shida yangu, juzi niliweka simu yangu mfukoni nikakuta imejibonyeza bonyeza na hasa kwenye WhatsApp, sasa shida ni moja tu imestak yani nikiwasha...
habari zenu wanajamii! Naamini mko poa! Wote jamani ninashida moja jinsi ya ku record screen kwa kutumia simu ya tecno spark k7 anaeweza naomba anisaidie maana nime donload screen record zote...
Google hawajasema chochote kuhusu secret question/answer kwenye requirements za kuchukua hela, wanasema uwe na ID na ile namba ya transaction ya Western Union, ila bongo bila secret...
INAUZWA
Meizu mx4 pro
Display 5'5 | fingerprint scaner
Storege 16 | ram 3gb
Camera 20.7Mp with
Selfie 5Mp l Betri 3350mah
glass protector + Back cover
Una touch na groves(grove mode)
Location |...
Wakuu, nina pc ya Lenovo thinkpad x130e inasumbua kwenye keys hizo hapo juu katika keyboard yake. Wakati mwengine zina reapond au zinagoma.
Je tatizo nini?
Natumia wondows 7 ultimate, tatizo ni...
Habari za muda huu na vp kuhusu pilikapilika za kuzikaribisha sikukuu za Christmas na mwaka mpya..
Issue iko hivi, Nina simu yangu hapa ambayo tatizo lake kubwa ni kushika moto mkali sana (yaan...
GOOGLE ADSENSE NI NINI ?
Ni mfumo wa Matangazo kwa njia ya mtandao unaihusisha matangazo kwenye kurasa za tovuti , programu , blogu , majukwaa na huduma zingine za mawasiliano haswa kwenye...
Tatizo hili linatokana na nini haswa maana nilikuwa nikiichaji inajaa vzr mpk 100% hata nikiwasha haishuki mpk nianze kuitumia ila kwa sasa imeanza kushuka na hata ikiwa na asilimia 20 nikazima...
Habari,
Najua mpaka sasa kuna baadhi yetu hatujui ku save/download youtube video na kuiweka kwenye Gallery. Kama wewe ni muhanga wa hili chakufanya chagua njia mojawapo hapo chini utakayoona...
Hatimaye nimefanikiwa kui install OSX snow leopard 10.5.7 na 10.6.3 kwenye pc ya kawaida. niliamua kuchagua hizo version ingawa si latest sana kwasababu pc niliyojaribia ilikuwa na specification...
Habarini wandugu,
Ninaomba kuelekezwa njia ya kufanya ili niweze kuona free channel bila kutumia kisambusi kupitia moja kwa moja kwenye tv.
Nitashukuru sana.
wadau, watu wengi wanaonunua brand new computers uwa wanakuta imeku installed na cheapest windows 7 starter ambayo ina lack many features ahass upande wa multimedia.
Sasa ngoja niwape siri moja...
habari wakuu
Nahitaji kununua vifaa kwa ajili ya project :vifaa kama transistors,resistors ,capacitors rheostats na vingine kama opamps na IC's
kwa anayejua duka lolote apa dar lenye hivi vifaa...
Wale wenzangu wenye interest na elimu ya maumbo ya angani (Astronomy) na elimu ya chanzo, mabadiliko na hatima ya ulimwengu (Cosmology) siku nyingi tumekua kimya humu jamvini. Ngoja leo niandike...
Habarini wana jamvi..
Nimekuja kwenu kuwaomba msaada kuhusiana na kampuni bora ya Tv. Nahtaji kununua inch 24.. je ni kampuni gani iko poa zaidi ukizingatia ubora wa picha. Kudumu kwa bidhaa n.k...
Tafadhali naomba msaada wa kupata fundi au mahali ntakapoweza kubadili kioo cha hisense tv 55'..nakaribisha ushauri
Natanguliza shukrani
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.