Hi! JF
Napenda ushari wenu wana JF nime plan kusoma course ya computer engineering soft ware.nikaona ni vyema sana nipate udhauri wenu hum maana kuna watu wapo humu walio soma hii course Je kwa...
Samsung hawatanii bhana wako seriously na biashara.. wamekuja na hiki chombo kutuliza mbwembwe za iPhone na matoleo yake mapya yaliotikisa soko la simu barani Ulaya, Asia na soko Zima la America...
Wakuu,
Kwanza nikiri tu kuwa si mzoefu hata kidogo wa simu za Samsung.
Nimekuwa natumia Tecno tu tangu mwaka 2012, kila toleo nanunua na kwa hiyo ninao uzoefu ktk kutumia smartphone za Tecno.
Hadi...
Nina Iphone 6S GB-16 pia nina Iphone 4S 32 GB Je naweza kutoa memory card na kuiweka kwenye Iphone 6s na ikafanya kazi??Wataalam naomba ufafanuzi!!
Sent from my iPhone using JamiiForums
Wakuu salama,
Nahitaji whatsup apps zaidi ya moja kwnye simu yangu. Yaani hii official whatsup na either business or gb whatsup.
Naomba maujanja yenu wadau nafanyaje kwa simu yangu hii iPhone 6s...
Wataalamu habarini.
Mimi ni mwalimu naomba msaada Wa kupata ramani ya Africa mashariki ili nikatumie katika kuandaa mtihani. Yaani kale karamani nikikapata naweza kukapanua na kujaza...
Mimi ni graduate wa BIT(Bachelor in Information Technology). Nahitaji kujiendeleza ili niwe valuable sasa au hata apo badae.
Na acknowledge uwepo wa professionals humu ndani na pia wenye...
Salam wakuu,
Straight to the point,naomba msaada kwa wataalam wa Sound engineering na production, Niko maeneo ya bunazi mkoa wa kagera na baada ya utafiti wa kina nikagndua kwamba kuna changamoto...
Mimi ni mtumiaji wa simu na mpenzi wa simu za samsung s series au note series.
Kuna hizi simu za tecno, naona watu wengi wanazo na wanatumia kuwasiliana, ila kama unavyojua hizi digital devices...
Habari za muda huu wanajukwaa, poleni na shughuli za ujenzi wa taifa.
Ni takribani miezi miwili sasa tangu nipatwe na msiba wa mzee wangu kipenzi, lakini siku chache kabla ya kifo chake...
Habari zenu wakuu.Kama kichwa kinavyojieleza Nina simu yangu aina ya freetel prior4 tangu ninunue haijamaliza mwaka na warrant yake ninayo tatizo nikiplay video kwa muda mrefu inaanza kuleta...
Habari wadau, kama nilivyoeleza hapo juu nampango wa kununua kisimbuzi sasa naomba anaejua kipi kina himili mazingira nilioeleza hapo juu msaada wadau.
Juzi ni nunua simu kwa mtu tecno K7 ilikuwa haina tatizo lolote hata nilivyoweka fingerprint ilikubali tu tatizo jana nikarestore yaani nikafuta kila kitu ili niaanze na upya tatzo lilokuja kwenye...
Habari waungwana,ninaomba msaada wa satalite frequencies na symbol rate za Mlimani tv na Tumaini tv,kama kuna mtu anazijua anisaidie!,natanguliza shukrani!
wakuu naomba msaada,nina laptop aina ya DELL Latitude e6400,kuna wakati inaonyesha vizuri ila kuna wakati mwanga unakuwa hafifu sana hata ni ngumu kuona kitu. Msaada tafadhali
Wakuu salamu!
Tafadhari naomba kusaidiwa jinsi ya kuanza kuitumia software ya Quick net ya modem ya STC. Mimi binafsi nimeweka hiyo software kwenye PC, tatizo ni kwamba nikichomeka modem hiyo ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.