wasalaam wakuu!!!!
kichwa cha habari chajieleza, pc yangu
haitoi sauti na hii imesababishwa na
kupiga window upya audio driver
haijawa installed.
nawasilisha
Kutokana na kukosekana kwa umeme wa uhakika na kupanda gharama za bei ya mafuta, umeme wa solar ndio njia mbadala wa kujipatia mwanga pindi giza liingiapo. Kwa mtaji kidogo unaweza kumaliza kabisa...
Siku nyingi huwa najiuliza hawa watu wenye application zao kule play store kuna kitu chochote wanafaidi kutokana na sisi kudownload application zao? Nikisikia kuna mtu anasema ukidownload app ya...
Habari wadau wa JF,
Kama mnavyojua kwa sasa mambo ya blogs yamekuwa tight kidogo katika nchi yetu and so wadau wengi wameamua kuhamia katika App na youtube channel. Natafuta wadau watatu au 5...
Wadau naomba altenative ya kufanya ili niweze kulipia hizi app playstore...
Nimeenda CRDB waniunganishe toka mwaka jana wananipiga kalenda tu, je bank gani nyingine naweza fanyia malipo?
Asanteni
Habari za leo,
Je, wewe ni mwanafunzi wa sekondari (A-level, au O-level) na unataka kuzama katika fani ya web design and development?
Je, wewe ni mwanafunzi chuoni, na unakaribia kugraduate, au...
Mambo vp wakuu....?
Cku zote ukiwa Kijana ni lazima kujifunza Mambo mbali mbali ktk Maisha yetu.
Nmekuja hapa kuna Simu nmepewa na Jamaa yng kama Zawad. Hyo simu(Tecno S1) inatatizo. Wakat wa...
Nimevutiwa sana na ujio wa NOKIA sana sana specification zake pamoja na bei yake ambapo ina range 250k-270k!
Betri 4100 mAh
Kwa kua sijatumia brand ya Nokia naomba wenye uzoefu nazo wanishauri
!
Ni kipindi sasa napata ujumbe sms kutoka kwa mtu asiyejulikana sms hizo zinatoka jwenye namba 4636 na haipo kwenye contact zangu.Au simu yangu imekuwa Hacked na wajanja??
Nina document ipo katika Microsoft word na nataka niprint kwenye A3. Lakini nikicomand itoke, inatoka nusu. Kila nikikomand itoke kwenye A3. Hii document nataka itoke yote full page nimeshindwa...
Jaman kuna ubishi kuhusu watsapp.
Je ni kweli mtu anayeishi nje ya nchi lakin katokea TZ anaweza wasiliana na mTZ kwa kutumia namba ileile ya Tz?
Mfano mtu kaenda china namba yake ni +255...
Hamjambo wadau,
Ninaomba kuelimishwa kama Mpesa Mastercard ina uwezo wa kutumika kulipia tangazo la biashara kwenye mtandao wa facebook.
Karibuni wajuzi.
Jamani waungwana naombenie Msaada wenu
Kunatatizo limetokea kwenye facebook account ya rafiki yangu..
Kwasasa rafiki yangu huyu hana simu janja takribani Wiki tatu sasa
But Jana kuna mtu amepost...
Habari,
Natafuta DC-DC Step down Convertor 5A Lithium Charger CV CC buck Step down Power Supply Module LED Driver New-in Integrated Circuits from Electronic Components & Supplies on Aliexpress.com...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.