Here guys the list of web hosting site
lakini if any one of you want to create OFFSHORE website like udult content/ hacking/ cracking et all you must pay for it others free u will get ban
but i...
Habari, kwanza kabisa Heri ya chrismas na mwaka mpya 2017 kwa wote. Kwa wale wenye kumiliki Website zilizosajiliwa au yeyote mwenye uelewa juu ya namna ya kusajili website hapa Tanzania naomba...
Yes....Kwa wale wanaotaka kupiga pesa online kupitia simu zenu,leo tumewaletea njia ya kufungua account ya paypal ukiwa Tanzania.
Kumbuka ukiwa Tanzania huwezi kufungua akaunti ya paypal na...
Habari wa Wakuu,
Wapi naweza kupata Compressor za Atlas Kopico za upepo.
Mtanisahihisha kwani sizifahamu vizuri,
Ambayo pia inaweza kutumia digger (ya kuchimbia)
SMARTPHONES TANZANIA Ni Sehemu Pekee itakayo Kujuza Namna njema na Sahihi Ya kutumia Smartphone yako, Utapata Maujanja Zaidi ni namna Gani Ya kutumia smartphone yako Kijanja Zaidi.. Pia utapatiwa...
Habari za muda huu ndugu zangu Nauliza mother board ya hii computer nitaipata wapi kwa hapa dar
Lenovo L420 thinkpad
Processors corei3
Kwasasa nipo dar as salaam
Habari wakuu naomb tusaidiane ku share experience actually nimeona tv katika mtandao wa JuMia online marketing. Aina ya eevol nchi 43 Ina future nyingi Sana nzuri na very affordable price.sasa...
Naomba msaada katika Hilo maana Mimi mgeni katka kutumia kompyuta na nahitaji kuitumia katika Mambo ya shule lakini haifungui mafile muhimu Kama Excell, Microsoft word na mengne.kama nakosea...
Katika kampuni za simu, Tecno ni kampuni bomba inayojali wateja wake na ndio maana tunawaelekeza wateja na watumiaji wote wa bidhaa za Tecno, kumekuwa na maneno ya upatu kuhusu simu za Tecno kuwa...
Wanabodi nimetembelea kwenye mitandao inayouza vingamuzi vya (FTA) Free To Air je vingamuzi hivi vinaweza kutumika hapa Tanzania?
Na ikiwa vinaweza vikatumika je nahitaji dish la aina gani...
Hello Ndugu...
Kuna Mada Jamaa Mmoja Aliileta Humu Inaenda Kwa Title Nimefunguka macho
Jamaa Amejisifia Kweli Na Akaona C8 ndo Solution Ukiangalia Vizuri kwenye Comment Nilimjibu Kuwa Hizo Siyo...
Mambo!
Aisee ni computer [Laptop} gani ambayo ni nzuri kwa maana ya kudumu na muonekano mzuri, na kwa Dar es Salaam ni sehemu gani ninaweza pata ambazo ni original.
Naomba kuuliza kama kuna anaefahamu App nzuri ya ku-download free music on ios,yaani App ambayo naweza download miziki bila restrictions kama ilivyokuwa kwa zile iDownloader ambazo zimefungiwa .
Kwa wale Wentworth Sinatra phone's zain android zenye matatizo ya memory ya RAM Kuwait Ndogo nakushindwa kuweka allocations kubwa Dawson no Mkude root cm ili apps ziamie kwenye SD card ya cm yako...
Wakuu, Salaam.
Simu yangu ina shida ya kutoonyesha sms zinazoingia i.e. kuna wakati zinaoneka zinapoingia lkn wakati mwingine hazionekani ingawa simu inapokuwa idle huwa inawaka(mwanga) kuashiria...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.