Wakuu,heshima yenu..samahani nahitaji msaada wa wapi naweza kupata kioo complete cha simu tajwa,nimedondosha simu na inavuja tu wino ndani kwa ndani,kifupi natakiwa ninunue kioo kipya,mwenye...
Wadau naombeni msaada, katika kununua kwangu vitu mitandaoni nimekutana na hii changamoto kuwa kuna baadhi ya mitandao inakuhitaji uwe na 3D verified card ili uweze kufanya miamala ya...
Habari sana JF najua ndipo kuna magwiji wa information technology. Naomba kujiua ni application gani ni installer ni weze kuludisha Picha na Massages zangu!?
Umewahi kutizama Televisheni yako au kusikiliza redio na kusikia makampuni ya kusamabaza huduma za mtandao kama Airtel, Vodacom, Tigo,Smart na wengine wengi wakizitaja sifa zao kedekede, kisha...
Watalaam, nina subwoofer langu linatumia umeme wa DC ila sasa natumia umeme wa AC huu huu wa tanesco kwa adopter, subwoofer Ina 12V na adopter ina out put 12V pia. Sasa ajabu nikiongeza sauti...
Habari zenu wakuu wajuvi.. naombeni msaada , ni wapi zinapatikana Universal dc laptop adapters za magari yani charger za laptop ambazo naeza kutumia kwenye gari au DC power source yenye 12v...
Habari wakuu
Nimatumaini Yangu Mnaumwa (sio wote) Mungu awafanyie wepesi in shaa ALLAH
Turejee kwenye Mada
Mwaka 2013 Ndiyo Mwaka niloanza kutumia Simu na Simu Yangu ya Kwanza NI TECNO-Q1 hii...
Ihabarini wakuu Hivi ni nani mmiliki mkuu wa internet .mfano....yaani tunavyomlipa Voda ,tigo ttcl nk na yeye anamlipa nani? Kumuwezasha kupata internet hiyo je na kama inavyosenekana internet...
wadau kuna folder nlilitengeneza mwaka flani kwa sababu ya kuhifadhia documents zangu kadhaa muhimu. nikasahau password zaidi ya miaka 5 sasa ninalo lakini nashindwa ku access hizo files. je...
Ukiacha namna ya kutafuta series kupitia index/serial au torrent namna nyingine ya kupata tv series? maana nimekuwa nikitafuta tv series kwa kutumia google search index/serial au sometime episodes...
Salaam
Kuna LED TV aina ya Sony Bravia imetoka Dubai. Sasa lugha iliyokuja nayo ni Kijapani. Nimejaribu kugoogle niweze kubadili lugha napata ipo kwenye setting lakini kila nikijaribu kuingia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.