CRYPTODIAMOND.
ni kampun ya kimarekani inayomilikiwa na Julie H. Anderson yeye ndiye Owner & Founder, CryptoDiamond.Tech Ltd.
pia inamiliki COIN yake yake ya CDT COIN ( Invest in your future...
Jana nilifanya Purchase ya Tv inch 50 Kwa euro 51 bahati mbaya seller alikua ni tapeli hapo ebay nikaamua ku cancel order
mpaka sasa nimesha nishamalizana na ebay kuhusu ku cancel order na pesa...
Wakuu nafikiri mko pouwa,
Sijui kama nitakuwa nimeweka kwenye jukwaa sahihi kama sivyo mods watanisaidia kupeleka kwenye jukwaa sahihi.
Ishu yangu ni jinsi ya kuunganisha maji ya DAWASCO /...
habari wanajukwaa, msaada kwa anayejuajinsi ya kureset bios password kwenye laptop. achana na zile ambazo unatoa cmos battery then unarudisha ina reset.
Hawa halotel wamekuwa wakinipa huduma bora kwenye internet ila hii wiki mambo yamekua tofauti, Kuanzia juzi hadi sasa internet imekuwa ni slow mno mpaka kero.....Instagram siwezi kuitumia kabisa...
Nina site yangu ya kuuza bidhaa na kununua bidhaa nilitumia osclass kutengeneza sasa juzi nilikuwa nimeweka Google translate ndo hapo limejitokeza tatizo hili
mtu akitaka kupost tangazo sehemu ya...
Introduction - Free HTML Tutorial
People often think it is extremely difficult to make a website. That is not the case! Everyone can learn how to make a website. And if you read on, you...
Niliitumia leo asubuhi sana sana na nikatoka kwenda kuoga ,niliporudi nikawasha nikakutana na hilo tatizo.
Laptop haikuanguka wala kusogea sehemu ilipokuwa.
Dell Latitude E6410
Msaada wakuu,hapa...
Naombeni msaada wenu kwenye ku-appload certificate, kuna mtu amenieleza kuwa lazima ufate atua izi
1. Unatoa copy certificate zote
2.unapeleka copy kwa mwanasheria, anazisaini na ķugonga muhuri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.