Simu hizo huwa moja wapo kati ya hizi:
TECNO , SAMSUNG SONY, na nyingine nying
za aina hizi.
Kama simu yako iliyopotea ni android usiwe n
wasiwasi. Hebu tufuatilie njia zifuatazo
zinazoelezea kwa...
Hello! Technician.
Kuna thread hum ililetwa kuhusu your freedom APN nimejitahid kujifunza nimeshindwa kukamilisha. Naomba kujua hatua za mwisho mwisho ili kukamilisha mchakato mzima ni zipi...
Utapata channel ngapi maana sio wote tunapenda madishi ya futi 6 au futi 8
Kuna mtu anatumia madishi madogo ya KU band atuambie yeye anapata channel ngp? ukiwa na receiver kama freesat ,mediacom...
Ukitaja michezo (games) maarufu ya mpira kwenye simu basi hutakosa kujua Dream league.
Ni moja ya mchezo ambao umeandaliwa vizuri sana.
hizi ni baadhi ya sifa za huu mchezo
kwanzia...
Natumaini hamjambo,
Hii ni kwa wale wanaopenda kucheza magem ya mpira kwenye simu...
Nimecheza Dream League Soccer 2018 na kuchukua makombe yote yaliyojitokeza mbele yangu yaani sina mpinzani...
Wakuu
Nimebadilisha windows majuzi lkn kila nikiconnect PC na WiFi inakula data balaa, 1gb inakatika kimchezomchezo nikauliza Mdau akaniambia windows mpya huwa inaupdates.
MSAADA
1. Je ni data...
Katika pita pita zangu mitandaoni nimekutana na simu aina ya doogee, nikaona nije niulizie najua humu kuna watu aidha wameshazitumia au wameziona kwa jamaa zao
CHIEF MKWAWA mwl Rct
Drone hizi ni aina vifaa ama ndege ambazo zinaweza kupaa pasipo kutumia rubani ila inatumia wireless control (radio transmission). moja ya aina za drone ni Quadcopter, hii ni aina ya drone ambayo...
Nifahamisheni wakuu ni duka gani Dar es Salaam, Zanzibar au Arusha nitapata Bunduki bandia. Nahitaji Realistic Toy Shortgun. Pia kuna utaratibu wowote wa kisheria nitatakiwa kuufuata ili kumiliki...
Habari wanajamii Forums ..
Nilikuwa nahitaji msaada kwa yeyote mwenye kujua utofauti Kati ya blog na website pamoja na mifano yake kwa ujumla.
Mwisho wa kuwasilisha.
Heshima kwenu wakuu.
Naomba kuuliza, hivi torch browser inapatikana kwa android au ni kwa PC tu peke ake...?
Kama ipo kwa android naomba mwenye link yake anisaidie niishushe wakuu. Natanguliza...
Naitumia kufanyia mazoezi asubuhi, baada ya muda nikarekodi hizi vitu hapa chini ila sielewi maana zake, Msaada plz kueleweshwa
Fat: 0.17107g
Heat: 0.132000
Speed: 0.001471
Mileage: 1.920000
Habari Geeks
Nina plan ya kumchukulia bwana mdogo smartphone kati ya hizo nilizoainisha hapo juu kwaajili ya matumizi ya kawaida,camera na perfomance ya simu husika vinapewa kipaumbele.
Nawasilisha.
Habarini za saa hizi wakuu. REJEA KICHWA CHA HABARI HAPO JUU.
Samahani kwa usumbufu. Nina mdogo wangu anahitaji msaada wa namna ya kuondoa Password katika pc yake ingawa anajua password ila...
wakuu simu yangu Aina ya TECNO CAMON X imepatwa na tatizo kila nikiiwasha inaishia kuwaka na kuandika jina tu then inaanza Ku load paspo fika kwenye files, naomben msaada nifanye nini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.