Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
What's up members. Leo nimewaletea Trick Mpya Ya Ku View Na Kudownload Instagram profile picture ya instagram account yoyote (Hata Ya private account) bila kutumia App yoyote USISAHAU KU...
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Habar za wakat huu wadau......... Kwa Neema ya mungu mi ni+salama. Naomba kuelimishwa na kushauriwa pia juu ya hili: Nakiri kuwa sijawahi kutumia simu yoyote ya iphone tangu nijue smartphone zaid...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Habar zenu wadau. Leo niko na hoja kwa wale wanaotumia Startimes antenna Miaka ya nyuma kulikuwa na zile code unapata channels za bure kama mbcbollwood mbc colorstv n.k Je siku hizi mnazipata...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habar za asubuhi wapedwa,naomba kwa wajuzi wa mambo haya ya mitandao wanielimishe hiv inatokea vip hujafuta majina katika whattsap contacts yako lakini cha ajabu kama ulikuwa na majina 250 wasap...
0 Reactions
3 Replies
869 Views
Habarini wadau..... Naomba kujuzwa, ni lini kwa mara ya kwanza smartphone (touchscreen au Androids hizi) ziliingia kwa mara ya kwanza kwenye mashelfu ya wauza simu na mikononi mwa watumiaji wa...
2 Reactions
67 Replies
14K Views
Nawasalimu wote katika jukwaa hili ! Naomba Kujua Shida ni yangu pekee yangu au hata kwa bloggers wengine kwenye AdSense yangu malipo yanasema kuwa yanasubiri (Pending) na email sijapata na suala...
0 Reactions
0 Replies
956 Views
Habari zenu wapendwa, Husika na Kichwa Cha Habari Simu Yangu TECNO C5S imestuck kwenye nembo ya Camon Mwenye Firmware ya simu hii anisaidie SHUKURANI
0 Reactions
2 Replies
1K Views
They call them hackers or may be crackers at times, but I call them Computer geniuses. In this century unit is everything. If you can hack....please let’s catchup and make the world a better...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Habari za wanajamvi, Msaada huu kwa wale waliosoma Engineering (Civil), wakuu naomba kama kuna atakuwa na soft/hard copy ya kitabu tajwa hapo juu anisaidi hata kama ni kwa malipo, please...
0 Reactions
1 Replies
670 Views
Kama kichwa kinavyojieleza hapo, natafuta kwa hiyo model (sijui kama ni sahihi) ya c 125 hp co i3. Naweka na picha. Kwa mwenye nayo tafadhali tuwasiliane inbox
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari wana Jf,nipo dodoma mjini kwa sasa ninahitaji kukutana na watu wanaosoma kozi ya IT kwani nami nataka kusoma mwaka huu..kwa mawasiliano katika whatsapp namba 0765268205
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Naombeni msaada wakuuu simu yang tecno l9 inazingua mtandao na kupandisha e tyu ila tatizo limeaanza baada ya simu kudondoka ... Msaada wakuu nifanyaje
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Naomba nisalimie baada ya hii paragraph hapa chini! Eti, nikitaka kujua kama mtu kani block kwenye whatsapp natumia ujuz gani??! Naomba kujuzwa kama kuna utaratbu wowote hnaohusika hapa...
1 Reactions
18 Replies
14K Views
Habar wakuu, naomba kuuliza ntawezaje kupata Channel kwenye TV yenye Digital build in ; mwenye uelewa please tusaidiane
1 Reactions
13 Replies
3K Views
Msaada,naomba kuelekezwa software za kuweza kutengeneza infographic na posters kwa ajili ya matangazo Twitter,facebook na instagram. Asanteni sana
2 Reactions
3 Replies
3K Views
Aisee Nipo China tangu jana lakini simu hazitoki, social media zote, google, YouTube, vyote siwezi access chochote. Simu yangu nimebaki kutumia camera na saa tu. Ni ishu aisee nifanye wenyeji au...
2 Reactions
56 Replies
5K Views
Msaada kwenye tuta jamani. Simu yangu hapokei data kutoka mitandao ya kijamii niliyo nayo (whatsapp, facebook, instagram na twitter) lakini Google na YouTube zinafanya kazi kama kawaida hata...
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Habari zenu wakuu. Kwakweli kwa nafasi niliopata kazini inanilazimu niwe na printer ili nifanyie baadhi ya kazi nyumbani. Sasa mie hizi mashine sizijui fresh, nikaona nikiingia kichwa kichwa...
0 Reactions
45 Replies
11K Views
Jamani wenye ujuzi wa kuripea vinanda,kinanda chetu kiliungua 2007 hadi leo hakijapona licha ya mafundi kupitia na kuchemsha.(yamaha psr 2100)
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Wasalaam Wakuu, Husika na kichwa cha habari hapo juu...nlikua nataka kujiongeza kdgo nichukue flat screen tv ya bedroom kwangu...going thru the internet likaibuka wazo la kuchukua projector...
2 Reactions
27 Replies
6K Views
Back
Top Bottom