Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Wakuu hebu mwenye kufahamu anifahamishe, sijui account ya Facebook imekumbwa na jinamizi gani nilizoea kupokea friend request za watu intelectual lakini kwa siku za karibuni hali imebadirika...
1 Reactions
27 Replies
5K Views
kwa mahitaji ya kuflash simu na maelekezo
0 Reactions
8 Replies
1K Views
with this firmware you'll be able to fix camera failed problem solve hang on logo clear passwords,pin & pattern clear privacy lock bootloop issue unsupported API DOWNLOAD HERE [TECNO SPARK PLUS...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Hiyo kitu ina kazi gani kwenye hizi Smart TV
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Watalaam wa simu naomba msaada wa kurescue simu yangu aina ya tecno Camon. Yaani inaonekana iko full alafu ninapoitumia inakuwa ya motooo. Sasa sijajua kitu gani kimekula space hivyo? Na apps...
1 Reactions
22 Replies
3K Views
Poleni kwa mihangaiko ya kila siku ndugu zangu! Pamoja na mijadala ya Dola pamoja na korosho lakini maisha lazima yaendelee.. Naomba msaada wa REIMAGE PC REPAIR 2018 WITH LICENSE KEY. Naamini...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu naomba kufahamu hili kwenye Tecno w4 ukiangalia kwenye storage ram inaonekana ni 425 na ukiangalia kwenye developer options(running service)free ram ni 638 hii wakuu imekaaje!
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Habari wakuu kuna sahemu nimekutana na hii..je ina ukweli wowote?
1 Reactions
28 Replies
3K Views
wakuu nazani bila shaka humu kunamafundi au watu wanao miliki magari aina ya mark x. mm binafsi nishakutana nayo kama magari 5 au 6 hivi na nishapata kesi zake zaidi ya 20. mark x inaugonjwa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu,nina redmi note 4x(SD-32gb) torch yake inawaka mwanga blue, usiku ukipiga picha kwa kutumia flashlight.......picha inakuwa too blue. Nimejaribu most of software troubleshooting trick,but...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wana jamii....naomba kufahamu app inayoweza ku block namba ngeni kuingia kwenye cm yangu(namba ngeni isiweze kuingia kwenye cm ) asanteni nategemea msaada wenu
0 Reactions
9 Replies
2K Views
kwa mahitaji ya kuflash simu na maelekezo
1 Reactions
27 Replies
4K Views
Hivi kati ya tecno na Samsung ipi nzuri!!?
0 Reactions
76 Replies
8K Views
Dr. Mark Dean, an African-American computer scientist and engineer, spent over 30 years at IBM pursuing the Next Big Thing. He was chief engineer of the 12-person team that designed the original...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
How to Use Samsung Health on a rooted device
0 Reactions
0 Replies
1K Views
msaada wakuu kuna hii simu nimeona mahali tangazo lake nimechoka kutumia simu za gharama nataka niwe na low cost with maximum satisfaction je hiyo dimu itanifaa cc Chief-Mkwawa
1 Reactions
21 Replies
4K Views
Natumaini wote mko fresh kabisa, this past week i was invited to Andela Kenya(Nairobi), when i arrived i realized that there's no Tanzanian at Andela while the opportunity to join is free for...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Msaada jamani kama kuna scatter file ya huawei y530 u00 naomben
0 Reactions
5 Replies
828 Views
hii simu INA Tatizo LA kuandika responding . Utakuta upo Facebook, ghafla linajitokeza neno - Facebook isn't responding. Wataala wa simu naomba msaada.
0 Reactions
5 Replies
635 Views
Vp wakuu.....?Nna laptop Dell tatizo lake haiwaki. Ukiwasha inapiga beep sound mara 5 na kuendelea kupiga tena. Nmebadili Cmos battery lakn bado. Ram na hard disk zipo poa coz nlitest kwenye...
0 Reactions
1 Replies
683 Views
Back
Top Bottom