Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
This is a scholarly article of three GM corn varities fed on rats.It can be found in the following link. A Comparison of the Effects of Three GM Corn Varieties on Mammalian Health The...
0 Reactions
0 Replies
413 Views
The debate around genetically modified organisms (GMO) is huge and heated on either side. However one of the major considerations when arguing against the use of GMO products is the potential for...
0 Reactions
1 Replies
229 Views
Natafundi wa Flat screen LG Tv. Tatizo ni kuwa nikichomeka nyaya za king'amuzi cha azam basi TV inajizima. Inabidi mpaka uzima kwenye umeme na kuwasha umeme ndio inawaka tena Natanguliza shukrani
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Wadau, naomba yeyote mwenye utaalam wa jinsi ninavyoweza kusafisha display ya hii calculator. Ukitazama picha utaona upande wa kulia wa display wino kama unasogea, ni vipi naweza kurekebisha...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Hii app ya tigo pesa ipo vizurii saana kwa watumiaji wa android na apple nawashauri wadau muidwload Sent from my iPhone 5 using JamiiForums
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Mafundi wenzangu nimekutana na tatizo hili "protection" radio ni sony ukipachika umeme standby imetulia ila ukibonyeza power tu inataka kuwaka sekunde moja inakata kwenye display inakuandikia...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Forever IPTV (3500+ HD&SD live online) Foever IKS (Europe, Africa and Middle east)
1 Reactions
53 Replies
19K Views
Habari wadau, nlikuw nauliza simu aina ya samsung A5 zinabadilishwa betri?
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Wakuu kwa wale ambao ni wajuzi wa teknolojia watumiaji wa DSTV decoder yangu ina sehemu ya kuchomeka USB shida imekuwa ni wapi nibonyeze ili nipate option ya USB...vile vya AZAM vina button ya...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Wakuu salaam! Namshukuru Mungu nimefanikiwa kumiliki kausafiri nina funcargo, ila siku za hivi karibuni kuna tatizo ambalo limeanza kusumbua gari langu.Iko hivi gari linapokuwa limepaki na liko...
0 Reactions
25 Replies
13K Views
Habari wana jukwaa, Leo nilikwenda town (city center) kununua new brand laptop. Baada ya kupitia maduka kadhaa kuna brand kama 4 hivi nimevutiwa nazo japo specifications zake zinafanana...
0 Reactions
47 Replies
6K Views
Maisha ya coders yanakuwaga ya ajabu sana, anaweza asitoke nje siku nzima yupo kwenye screen tu anachapa Jodi za kutengeneza program, web apps, hacking, n.k Mara nyingi wale coders huwa hawawezi...
11 Reactions
72 Replies
6K Views
Wassalaam ndugu Nilikua naomba kuuliza ili nijuzwe Je tatizo la fingerprint kwenye iphone 6 plus huwa linasababishwa na kioo endapo kama ukibadili kioo tatizo linakua fixed Au tatizo ni system...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Wanajamvi habali ya Leo, nikiwa huku ntwara kununua koro-show kuunga juhudi za CEO wa tz ninaomba msaada wa namna ya kutengeneza mfumo wa kutuma SMS za kawaida kwa watu zaidi ya 1000 kwa wakati...
2 Reactions
6 Replies
5K Views
Habari wakuu, Nimefuta service files pc yangu, na sasa napata ujumbe wa erro (0x80042302). Je nifanyeje ili kurudisha katika hali ya kawaida,ni install windows upya ama ni formart tu. msaada...
0 Reactions
7 Replies
869 Views
Msaada wapi naweza pata Display complete ya J7 neo Model(SM-J701F/DS) Na kwa bei gani wenye uzoefu na pia kama kuna mtu anafahamu na uzoefu wa kununua nje anaweza share pia soko zuri la kupata hii...
0 Reactions
3 Replies
912 Views
Technologia inazidi kukuwa na mambo mengi yanazidi kugunduliwa na kurahisisha kila kitu. Kuna hii APP inaitwa TRUE CALLER ambayo kwa kiasi kikubwa inasaidia sana kumjua aliyekupigia simu hata kama...
9 Reactions
28 Replies
8K Views
naomba msaada anaekijua hiki chuo! wanafundisha computer course! ubora wake na Ada yake
0 Reactions
26 Replies
5K Views
Mada hapo juu yahusika Wakuu naweza kupata wapi Laptop Dell Latitude 7390 Inch 13.33" ==Ultraportable (7th gen Core i3/i5, 8th gen Core i5/i7) Natanguliza shukrani
0 Reactions
4 Replies
943 Views
download free network unlocked alcatel one touch 1050 g and 1050d flash files to unlock your network locked alcatel phone NB after flashing if you encounter invalid sim,please repair its original...
2 Reactions
1 Replies
3K Views
Back
Top Bottom