Habari zenu wakuu !!
Katika kuperuzi peruzi apa JF nime jikuta kila post ina onesha Just now hata kama ni comment ya siku chache zilizo pita notification pembeni inaonesha just now
Kwa watumiaji...
Habari wakuu!
Anaejua zaidi hizi mashine ubora wake upatikanaji wake pia faida na hasara ya bitcoin..
Pia nasikia zinaconsume umeme mbaya na kelele kama engine ya trekta.
Anaejua zaidi naomba...
Wakuu pole na majukumu ya kila siku!!moja kwa moja kwenye mada, account ya fb upande wa messenger, haikoneti internet kwa wiki sasa.ikiingia message naiona lakini kurespond inagoma maana inaandika...
Habari zenu wadau, you tube kwa sasa kama wamebana hivi kushusha mzigo, kama kuna mdau anajua njia mpya ya kudownload video moja kwa moja atuambie
Zamani tulizoea kuandika "ss katika link kisha...
Habar wana jf me natumia simu aina ya infinix hua Mara kwa Mara inaniletea notifications ya ku- update system ,,,,,naomba kuuliza ni zipi faida za ku-update system
Napenda kujua ni jinsi gani naweza kuchanganya rangi ikawa yenye mvuto kulingana na picha na maandishi!
mf nikiwa na background ya blue ni weke maandishi rangi gani na gani ili ivutie kwa...
welcome to www.hi-protechy.com for verified factory signed firmwares,mobile phone unlocking and flashing..we also provide remote flashing and unlocking services right where you are... visit our...
karibu www.hi-protechy.com kwa mahitaji ya kuflash ,kuunlock simu na mafaili ya kuflashia(factory signed firmwares).tunatoa huduma ya kuflash na kutoalock za simu huko huko ulipo kwa gharama...
Habari wanabodi,
Nauza laptop yenye specifications zifuatazo:
Operating System: Windows 10 Pro
Processor: Intel Core i3
CPU: 2.0GHz
RAM: 4.00GB
System Type: 64-bit Operating system
Hard Disk...
Wakuu,
Natafuta kampuni nzuri yenye low transactions fee and great customer service inayotoa mobile payment API for android apps, specifically node sdk integration.
Nahitaji kuintegrate payment...
NOTE #1: Kuroot simu yako/tablet yako ni risk, na unaweza kuiharibu kabisa.
NOTE #2: Sitawajibika kama kwa namna moja ama nyingine utaharibu simu yako.
NOTE #3: ROOT AT YOUR OWN RISK
Sasa...
Nimekutana na flash na memory card nyingi, mwanzo inakua nzima ila ghafla siku inafika unataka kuweka vitu inakukatalia halafu inakwambia 'Device is Write Protected' kama umechomeka memory card...
Habari Wana jamvi!
Bila shaka mpo okeay, huku tukisonga na gurudumu letu la kuijenga Tanzania pendwa.
Moja kwa moja naomba niende kwenye maada husika.
Naomba kujua/kufahamu namna ya Ku extract...
Wakuu naombeni kujuzwa duka
lenye laptop kwa wingi ili niwe na uchaguz wa laptop inayofaa
pia kama lipo lijulikanalo kwa bei afadhar kidogo na lile la bei ghali
Wakuu msaada wenu unahitajika...
Nimeresett pc hapa, ila baada ya kumaliza process mafaili yote yamebadilika kuwa PPTX...
Ni kuanzia audio, video, picha hata exe files....naomba mnisaidie jinsi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.