Habari zenu wapendwa!
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nahitaji kujua utofauti kati ya "software" na "program" ambazo kimsingi zote zinatumika kwenye kompyuta. Na pia nahitaji kujua mfano wa...
kuna tatizo linanisumbua kwenye njia ya mkojo lina muda mrefu toka 2011 na lilianza kidogo kidogo nikibinya kuna maumivu nayapata kama ya vidonda nimeangaika hospital walinichoma powersef lakini...
Kwa wale wataalamu wa IT,kuna document yangu niliweka kwenye format ya PDF na nikaiwekea password sasa bahati mbaya nimeisahau na ni ya muhimu sana,kama kuna anaejua ni jinsi gani ninaweza...
Naomba kuuliza ndugu.. Hivi ukiwa unatumia WhatsApp number ya mtandao wa simu wa Tanzania labda tigo au voda alafu ukasafiri kwenda nchini Afrika kusini.. Je utakuwa na uwezo wa kutumia namba...
Nahitaji gaming laptop HP OMEN, MSI, and the lyk ilimradi iwe na specs za gaming preferably ikiwa 17.3".. Nna 900K at reasonable am ready to topup....
Nawasilisha Wakuu
HABARI ZENU WANA JF
PS3 yangu ina tatzo la kuonyesha screen nyekundu ukiiwasha yenye maandishi fulani ambayo siyo ya kiingerezA.
Msaada kwa anayejua solution au anayemfahamu m2 anayeweza...
Kichwa cha habari chahusika,
Nikiri tu yakuwa mimi ni mmoja ya watumiaji wa mtandao pendwa wa Whatsapp ila nimekuwa nikikutana na changamoto ya kuungwa magroup mbalimbali bila ridhaa yangu hali...
Jaman ninashida... Nina kamera imevunjika display.. Ni canon g 16. Naweza pata wapi screen? Nimezunguka madukan nimekosa... Na je nawezaje kuagiza kutoka nje kikanifikia?
Kuna filamu moja inaitwa Tangerine. Hii movie imeshutiwa kwa kutumia Iphone 5.
Bajeti ya hii movie ilikuwa dola 100,000 na box office ikiwa dola 950,000!!.
Siku hizi teknolojia imerahisisha sana...
leo nimeenda kubadili simcard yangu ya vodacom kusudi wanipatie inayosapoti 4G chaajabu eti kubadili nimeobwa Tsh 2000 daah mpaka nomechoka sasa nahiuliza hili ni kwa wote ama ni baadhi ya vodashop
I hope tuwazima wa afya, Pole kwao ndugu afya azipo sawa.
Asus yangu imekatika kiwire kinachotoa moto kutoka kwenye mother body kwenda kwenye Screan. Ikiwa kuna mahali naweza pata Fundi umu au...
Wakuu wa JF, naomba msaada juu ya ubora wa hii PC, na nambiwa ni mpya tatzo ni bei iko very cheap! naomba uzoefu kama uliwahi kununua kwa hili duka BONGODUKA KARIAKOO, DAR. Lengo naitaka hii PC...
Wakuu,
Habare? Baada ya kuibiwa iPhone 6 yangu (I miss FaceTime n iMessage) na note 4 yangu kuharibika, nikaamua kutafuta any low end device angalau tu nipate access ya net. Katika pita pita...
msaada dell d620 inagoma kuwaka display
mnisaidie jamani laptop yangu kila nikiwasha inagoma kuwaka pia nikiweka chaji haionesh kama inapeleka inawaka ta ya power na kuzima baada ya sekunde chache
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.