Habari wadau,
Kwa yeyote anayefahamu wapi naweza kununua hii printer, i.e Epson L1800, hapa nchini au nje ya nchi, nimejaribu kucheki amazon ambayo inapatikana muuzajia haitumi Tanzania, Vilevile...
NEW YORK (CNNMoney) | April 9, 2012
Facebook has agreed to buy photo sharing network Instagram for $1 billion in a combination of cash and stock, the company announced Monday.
It's...
Hilo tatizo limekuwa sugu kwa muda mrefu sana na mafundi wengi wameumiza vichwa bila majibu.
mafundi wengi tulikata tamaa tukajua hilo huenda tatizo halitengenezeki. lakini kwa sababu akili za...
Habari WanaJF
kuna hizi simu ndogo za button kama za nokia..Samsung na zinginezo!
Hizi simu mara nyingi huleta tatizo la code hasa pale unaposahau code kama ujuzi ni mdogo kama wangu inasumbua...
Wakuu, kama mnavyojua tatizo la huu mtandao wa TTCL kuhusu upatikanaji wa vocha zake, hasa maeneo ya huku mikoani ndanindani ni nadra sana kukuta vocha madukani.
Hvyo naomba maujuzi kidogo namna...
Natumia IPhone 8+ mpya lakini siku hizi mbili yaniambia ni update nipate 12
Nimejaribu ku update kwa kutumia wi fi ya tekno imegoma inasema hakuna network
Msaada wenu wajuzi wa hizi mambo...
Wakuu kwanza natanguliza salaam kwa wakubwa NA wadogo!
Nina pc yang ya lenovo minicomputer imepata crack kwenye screen sasa hivi imeweka wino ,naomben msaada jins ya matengenezo NA gharama zake...
Nina Printer ya Epson L805. Jana asubuhi nimekuta imemwaga wino wote kwenye tank la kutolea wino mchafu. Catrage zote ziliisha wino. Nimejaribu kujaza wino tena lakini kila nikijaribu kuprint...
Wadau wa Software Dev.
Nahitataji kutengeneza API zitakazotumiwa na mobile app & web app
Nahitaji kutumia database table moja kuhifadhi mobile & web app users. Mobile App users watatumia phone...
Habari wapendwa husika na mada hapo juu baada ya kutumia Vodafone 200 kwa muda mrefu sasa Niko tena sokoni kuangalia simu yenye uwezo sasa nauliza IPI iko vizuri kati teknoL9 na teknok7
Wadau mnaendeleaje?
Mimi msinichoke tuu maana napenda kuuliza kwa sababu napenda kijifunza. Naomba kwa wadau ambazo mshafanya kazi na hawa jamaa ambazo wanaonekana ni alternative to Google...
Heshima kwenu wana nzengo!
Hii os ya window iliyokuwa inatumika kwenye simu za microsoft/ nokia na baadhi ya simu ndio imeshindwa katika soko? Nilitumia microsoft, ilikuwa smooth sana, ila...
Shikamoni wanajukwaa la TEHAMA.
Niendee moja kwa moja kwenye mada.Nilikuwa naomba mtu yeyote anayejua link ya ku download Microsoft Office toleo la
2016 aau 2013 nina shida nazo sana.
Asanteni
Wakuu Habari
Kama Kichwa cha habari kinavyojieleza
Nilikua na Yahoo émail ambayo kimsingi niliitumia sana kwa mambo yangu hasa yahusuyo career yangu
Niliacha kuitumia Kwa muda mrefu baada ya...
Habar wakuu.
Niende moja kwa moja kwenye mada. Nimekuwa nikiona nyuzi mbali humu jukwaani na kwa baadhi ya watu kuhusu hz simu za Xiaomi kwmb ni simu bora. Nataka kuagiza simu ya Xiaomi RedMi 4x...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.