Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Msaada wakuu. Hii simu bado mpya kabisa lakini nikiweka tathering na nikaconnect PC basi simu inapata moto vibaya sana. Mwenye kujua tatizo anisaidie please
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Salama wakuu Ninawazo la kuanzisha biashara ya kuprint macover ya sim na laptop Mwenye uwelewa vifaa vinavyo hitajika na printer ya aina gani na kias gan inauzwa anisaidie plz
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wandugu flash yangu hapo mwanzo nilikuwa na weka kwenye radio ya gari ikawa inafanya kazi vizuri sasahivi ukiweka inabakia kwenye ku read tu ila nikiweka kwenye pc inasoma au nikiipachika kwenye...
0 Reactions
0 Replies
813 Views
Key Specs - Intel Core i5 4th Gen Processor - 4 GB DDR3 RAM - 15.6" (39.62 cm) display, 1366 x 768 px - 500 GB HDD (Nipo Dodoma)
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Zimbabwe plans to send satellites into orbit Zimbabwe is setting its sights on the stars. The southern African nation launched a national space agency
0 Reactions
0 Replies
518 Views
Habari zenu! Wataalam wa IT kina Chief-Mkwawa na wadau wengine naombeni msaada. Nina laptop yangu imekuja na operating system yake na baadhi ya programs ila harddrive yake ni ndogo sana. Sasa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Utafiti umeonyesha kuwa Ushoga unakuwa biologically determined. watafiti wameendelea kuonyesha kuwa kuna uhusiano mkubwa kati ya kuwa na tabia za ushoga na genes fulani na hivyo kutoa mwanga zaidi...
1 Reactions
129 Replies
13K Views
Jamani naomba mwenye maujuzi ya ku-hard reset Samsung galaxy J3, kila nikijaribu ku-break google nashindwa.
0 Reactions
1 Replies
669 Views
Ndugu wana jf,heading hapo juu inajieleza mimi sijawahi tumia ipad but for now nampango na mimi nimiliki ya kwangu kwa matumizi ya kawaida kama ku surf net,kuangalia movie na kupiga...
1 Reactions
59 Replies
23K Views
Nataka kuchukua diploma ya mechanical engineering na nmechaguliwa DIT na NIT. Kozi ya diplo kwa waliomaliza form6 kama mimi ni miaka miwili NIT lakini DIT ni lazima miaka mitatu. Naombeni ushauri...
0 Reactions
24 Replies
7K Views
what are enzymes of gatric??????????????
0 Reactions
5 Replies
671 Views
Wadau nna tatizo. Ofisini internet ni ya Wireless lakini laptop yangu (sony) haishiki hiyo wireless. Cha ajabu nikiconnect na local area network inashika na nikiconect wireless ya simu (hotspot)...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Hello, Nina SIMU ya Techno S1 zinazouzwa name kampuni ya Tigo. Ila hairuhusu mitandao mingine kuendesha 3G. mpaka niweke line ya tigo tu ndo nitumie 3G. Naombeni code za kufungulia hii Techno...
0 Reactions
8 Replies
9K Views
habari zenu wadau,naomba msaada wenu wakuu nimejiunga na crdb internet banking huu mwezi wa 3 sasa ila kila nikijalibu kufanya malipo online yanagoma ninachoambiwa ni, authorization failed...
0 Reactions
17 Replies
28K Views
Kwenye simu yangu nikifungua jamii forum Kisha nika log in basi Kuna kiduara chekundu kinatokea upande wa chini na simu inakuwa nzito na inastack Sana nashindwa hata kufatilia mjadala nini tatizo...
0 Reactions
1 Replies
995 Views
Wakuu heshima kwenu.. Naomba namna ya kupata app ya automatic call recorder pamoja na deleted sms recovery ......Hizi za kwenye playstore zote hazifanyi kazi kama inavyotakiwa. Nimejaribu...
2 Reactions
6 Replies
4K Views
iSmarttz: Tools
0 Reactions
2 Replies
696 Views
Is it possible for the pregnancy's manifestations(symptoms) to bee seen three days soon after sex.???????????!!!
0 Reactions
3 Replies
542 Views
Nimetembelea site fulani ya wamarekani na wamenishawishi kuamini wamba ni kweli walitua mwezini. Take a look wanavyosema:- Did we land on the moon? I can remember the night of July 20th 1969...
0 Reactions
30 Replies
6K Views
Wadau km heading inavyoonekana naomba yoyote mwenye hizo product key anisaidie nimejaribu ku update lkn nimekwama kwenye hyo key
0 Reactions
5 Replies
973 Views
Back
Top Bottom