Habari Wakuu, nina maswali mawili kwenu
1. Kuna Gari aina ya Fuso hii Gari ikiwa inatembea alafu Dereva akafunga Break ya ghafla hii Gari inazima japo kakanyaga Clutch (maana inakua katika Gia)...
ATTACK YOUR FRIEND'S COMPUTER with SMALL VIRUSES.(prepared by Alban)
Zingatia hili kabla ya kutengeneza hao virus ni muhimu sana kufaham.
(A) Usisubutu kufungua hilo file vile ambalo...
Heko kwenu wadau wa CODING.
Nimekuwa nikitafakari mambo yajayo kuhusu maisha nikabaini kuwa lazima niwe na utaalamu au ujuzi kuhusu coding(programming).
Kwa kuwa sijawahi kuisoma elimu hii...
Je ungependa uwe na website yako mwenyewe mfano ya Biashara, Blog, Shule ama Binafsi
Hello wapendwa humu ndani ningependa nichangie jukwaa kwa kutoa offer
nitawatengenezea website bure kwa watu...
Kama kichwa knavyojieleza hapo juu, kuna device 2 mojawapo simu ya Lg Nexus G5 na Mac nathan hii ni pc zina access email yangu kwenye Gmail Kupitia progrm ya Chrome wakati mimi sikuwahi miliki...
Habari wadau...kama title inavojieleza,naomba kujua EMS wanasafirisha vp documemts zilizo ktk hard copy?
Nachohitaji kujua ni haya yafuatayo?
*muda unaoweza kutumika kusafirisha... (Mwanza to...
Habari za hapa wanajukwaa:
Wakuu naombeni msaada Simu yangu ni Nokia lumia 820 Window yake ipo 8:1
Tatzo hii simu ni facebook ndo siingii inakataa inaniambia Niongeze Version ..sasa nikitaka...
Siku sio nyingi zimepita nimeibiwa laptop na external hard disk. So mpaka sasa data zangu muhimu nyingi zimepotea.
Naomba kufahamu kama kuna njia ya kutrack hii laptop ingawa sikumbuki IP address...
Kwanza kabisa nimshukuru member anayeitwa Chief-Mkwawa pamoja na wadau wote wa technolojia waliochangia kwenye ile thread inayohusu kujihadhari na simu za mitandao ya kikorea, China na...
Gurus,
Data zilizomo ni 200+ GB.
Muhimu sana. Nimejaribu kudownload software ya EaseUs inascan na kuzipreview data zote lakini inadai serial keys ili kuweza kuzirecover. Je, naweza kupata...
Kama topic inavyojieleza wakuu naombeni msaada wa either program au njia ya kuunganisha movie yangu niliyoishusha kwa simu ambayo ipo katika vipande vinne.
Link 1
http://www.windowscentral.com/official-windows-10-iso-files-now-available-download
Link 2
https://www.microsoft.com/en-us/software-download/windows10
kuna thread za mobdro, uktvnow, kodi, na njia mbali mbali za kuangalia tv online lakini zote hizi zina kitu kimoja zinalingana, zote hutegemea server kukupa wewe data hivyo server inavyokuwa na...
Kuna mazoea ya kutumia kitu kwa mda mrefu bila ya kujua sifa zake
Leo nitakueleza namna ya kujua sifa za computer yako
Njia rahisi ya kujua sifa za computer yako
Njia hii ni kwa computer...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.