Mimi ni Animator from learning jinsi ya kutumia some programs and nataka kutengeneza animation but siwezi kufanya mwenyewe so I need a team au mtu mwenye uwezo na moja yapo
Cinema4d
Real flow...
Wazima. Naombeni msaada. Mimi niko Morogoro ila pia nafika fika sana Dar es salaam.
Natafuta cable ya kuunganisha simu yangu kwenda Tv, yaani phone to Tv through hdmi.
Pia natafuta cable ya...
Habari zenu wadau wa JF,moja kwa moja niende kwenye mada husika,kama tunavyojua na kufahamu kuwa Facebook ni moja kati ya mitandao ya kijamii muhimu sana katika dunia ya sasa,licha ya hivyo...
Habari zenu wakuu... Nina tatizo moja,, natumia Gb whatsapp ni latest vission nikiweka video status.. Then nikija kuichek nakuta haitoi sauti but ni video yenye sauti.... Na sijatouch pale pa...
Habari wakuu,
Ninauliza kama ninaweza pata samsung note 3 mpya na original.
Ninaipenda hii simu japo kuwa ni ya zamani.
Please wataalamu naomba ushauri na jinsi ya kuipata simu tajwa....!
Habari za muda wadau! Mimi simu yangu ina tatzo moja. Kila nikihitaji kupiga simu inaniambia Acm limit exceeded. Naweza kufanya miamala au kupokea simu lakini siwezi kupiga. Nimejaribu Ku clear...
HOW TO REMOVE WINDOWS PASSWORD by using COMMAND no SOFTWARE NEEDED.
{1} Turn on or Restart your PC.
{2} Hold F8.
{3} Select on "Enter safe mode with command prompt".
{4} In CMD write this code...
Wataalamu wa teknolojia, nilikua naomba msaada App gani ambayo inafanya kazi tofauti tofauti Katika simu..
Ambayo, inafungua Document mbaliii ambazo zipo Katika mifumo tofauti tofauti
Mfano...
Inch 32 HD mpyaa
Sababu ya kuuza* Nilimnunulia Dem wangu tarehe 17 mwezi huu nikaja kushtuka kanifanya mimi danga lake nimempokonya.
Details/ Receipt zote zipo
Natumaini wana jf ni wazama wote wa afya
Nilikuwa naomba kujuzwa jinsi ya kufungua blog kwenye simu ya android
Anaye fahamu anielekeze nipo serious hata pm akija fresh lakin hapa ingekuwa...
mimi Jana nimeibiwa simu yangu na IMEI namba zake ninazo na naomba mnisaidie jinsi gan ya kuipata na nimeitruck kwa kutumia find my device inaonekana haipo mbali sana na mimi
Kwa mda mrefu ilikua haiwezekan kufanya manunuzi but for now inawezekana kwa msaada wa Epic Computers Tz
sasa unaweza nunua Games Tv shows Na vitu vingine ktk PS store Pia Xbox store
unachotakiwa...
Kadri dunia inavozidi kwenda ndo jinsi technology inavozidi kukua. Sikuhizi the most popular mode of payment duniani ni cashless. Yani mtu mnafanya biashara bila kupeana ela mkononi. Na a popular...
Habari za Leo wakuu! Nime unlock airtel modem MF 190 few weeks ago nikatumia Pasi na shida lakini baada ya Ku update windows 10 ya PC to latest haiwezi kudetect modem,nikahisi labda ni drivers...
wakuu nahitaji laptop kwa ajili ya kucheza gaming na graphics designed mambo ya 3D
nimejaribu kuulizia dukani price yake ni kubwa na mimi nahitaji kwa haraka nilikua naomba kama kuna mtu ambae...
Mimi si mwandishi wa makala kwa taaluma ila naomba wasimamizi wa JamiiForums msiunganishe mada hii na mada nyingine.
Kuna mambo katika ulimwengu inabidi kuwa makini nayo kwani yanaweza kukuumbua...
Msaada vipanga ,simu yangu baadhi ya apps eg adobe na snap chart zinashindwa ku install.simu ina download hadi 100% kisha inarudia tena. Natumia Oppo f5 network na bundle viko ,setting nimesha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.