Habari wakuu...Mimi nimekua blogger Kwa miaka minne sasa.
Hapo awali blog yangu ilikua inaitwa sirizaafyabora.blogspot.com baadae nikanunua domain ikawa sirizaafyabora.com
Sasa Mimi sio mtaalamu...
Kwa wale ambao wapo interested na Web Programming na wangependa kujifunza na wapo Dodoma waniachie contact details inbox ili tu arrange meetings siku za weekend.
Thanks
Wana jamvi naombeni msaada wenu namna ya kufunga namba flan isinipate hewani kuna namba zinanisumbua sana tafadhali naombeni msaada wenu ndugu zangu kwa wenye ujuzi.application zingine ninazo...
Wakuu computer yangu nkiwasha inaniandikia No BOOT DEVICE FOUND na niipress any key inarudi hapo hapo... Msaada wenu wakuu itakuwa na shida gani[emoji24]
Leo ni kama siku ya 3 kila nikipitia comments ya page nilizozilike fb sion comments zaidi ya zile ambazo waliocomment ni rafiki zangu...
Vip hii ni kote au acc yangu ndo ina shida?
Mara nyingi nimekua nikiagiza electronics components kupitia online platform kama alibaba, tatizo vifaa vinachukua mda mrefu kunifikia na kuchelewesha project zangu. Swali langu ni, ni je hapa dar...
Naweka uzi huu kwa dhumuni la kutaka kujua ghalama ya Toolbox complete ya vifaa vya plumbing au hata ukiweza kuniunganisha na wauzaji wa vitu hivo.
mjumuisho uwe ni wa vifaa kama vile
Pipe Wrench...
Wakuu hasa wataalam wa maprogramming.
Nataka kujaribu kutengeneza app ya android na specificaaly app ya Ramani(gogle map) ya Tanzania au dar Es salaam ambayo nitauwa nime icustomise.
Pamoja...
Habari ndugu zangu kwa wale munaoweza kunisaidia ufumbuzi wa tatizo hili, Natumia iPhone ila kuanzia juzi nikiiweka kwenye charge inaniletea hyo error.
Nilikuwa nataka kufahamu nn tatizo hapa?
Naombeni msaada kwa sababu nataka kununua laptop kwa mtu ila naogopa asije akanishikisha...mfano kwa upande simujanja za samsung hua kuna code zake ili uweze kujua ka kitu ni original naomba...
Salamu wakubwa habari za majukumu.
Swala hili limekua likiongelewa sana hapa jukwaani ila mpaka saivi kwangu sijapata suruhisho lililo sahihi kwa kujua je? ni sehemu gani sahihi kwa mdau anayetaka...
Nina YouTube channel Yang ambayo kuna video niki upload zinaweka Msitar mwekundu kwa chini na kuna nyingne zinaweka huo Msitar baada ya kuwa viewed, je tatizo Ni nini👇👇
Nina matatizo matatu ndugu zangu.
1/Kurudisha data za HDD zote nilizofuta kwenye recycle bin.
Nataka kujua ni app gani itakayonowezesha ku recover data zangu zote. Nimewahi tumia baadhi sema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.