Wadau nimeibiwa simu juz kati, hivo napata shida kuwasiliana na ndugu jamaa na marafiki
Naomba anae jua jinsi ya kupiga simu kwa kutumia computer anielekeze
YouTube vanced ni a modded YouTube app ambayo inakuwezasha features like
Background play
Increase resolution(HDR)
Change Themes
Zoom in and out
Many more....
Just visit official site on Vanced
Heshima kwenu wakuu.
Naomba mnisaidie app inayoweza ku-zoom picha iliyopo kwenye video unaonekana kwa ukubwa zaidi wakuu.
Kwa mfano, kuna tutorials huwa zinatolewa you tube utakuta zinaelekeza...
Binafsi sio mdau sana wa Bongo movie ila namkubali sana King Majuto pekee,
Kuna ile movie inayoitwa "nakwenda kwa mwanangu"
Aliigiza na Jb,
Nimejaribu YouTube nimekuta vipande vya matangazo tu...
Nimekuwa nikitumia Modem muda wote bila tatizo, lakini kuanzia siku chache zilizopita nikichomeka modem inabaki kuonyesha NO SERVICE...hata nikibadili sim card tofauti air tel voda, tigo tatizo ni...
Kampuni ya google imethibitisha kwamba kipengele cha mandari ya Dark mode kwa watumiaji wa youtube kimeanza kupatikana
Kwa kawaida muonekano wa youtube kwa muda wote umekua wa rang nyeupe
Lakini...
Habari Wakuu.
Natumai mko poa kabisa. Well, naomba mnisaidie app ya kuonesha kuwa battery ya simu Imeisha chaji hata yani inazima muda si mref wakuu.
Kuna mambo tunakutana nayo tunashindwa...
Anae hitaji app nauza nnazo mbili moja inausu group link za whatsapp nyingine inausu mambo ya vichekesho pia anae hitaji Google play account nauza bei maelewano nicheki pm tufanye biashara
Quo
Habari zenu wana jf, nahitaji mtu anayeweza ku submit website free basics
Yaani ku submit kama vile ana submit website yake
mi nimejaribu lakini nimeshindwa kabisa sasa naomba msaada.
Habari waungwana;
Kuna file la muhimu sana; liliandaliwa kwa program ya program ya Apache OpenOffice. Mashine iliyotumika kuandaa iliformatiwa kwa bahati mbaya. Sasa file liko kwenye flash...
Habari za jioni wakuu..juzi nimenunua simu kwa MTU kwa bahati mbaya nmejaribu kuaccess internet imegoma kabisa vile vimishale vya internet vinaonekana lakin akuna kitu.. simu ni sumsang j7...
Habari wakuu!ningependa kuongelea jambo kwa member wa jukwaa la Tech embu tupunguze mizaa tuwe serious na pia jukwaa la Tech kwa sasa limekuwa kama limeinhiliwa zinakuja mada ambazo asilimia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.