Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Wakuu kuna namna ya kupata au ku crack kasperksky nayutumia pia imeisha mda wake, pia namna ya ku crack IDM ni mda sasa haifanyi kazi inataka ni prurchase
0 Reactions
5 Replies
855 Views
Simu yangu ni LEAGOO KICAA POWER nimesajili line ya ttcl inasoma vizuri lakini data imegoma kabisa kuwaka nisaidie nifanyeje APN nimeseti vizuri lakini haisomi. Kwenye simu zingine inasoma sijui...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Juzi tulipata taarifa kwa waziri mmoja wa Afrika kusini kwa picha zake za faragha kuvuja. Jana afisa wa serikali amesema Maafisa usalama ndio waliiba picha hizo na kumtishia Waziri huyo kuwa...
2 Reactions
38 Replies
6K Views
simu yangu imezingua baada ya jaribio la kuiroot haiwaki inaishia kwenye logo, naomba msaada mwenye contact za Fundi mzuri atakaye nitatulia hili tatizo, pia kama kuna fundi kwenye jukwaa hili...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
jamani nilikuwa naomba kusaidiwa July nsi ya kuwa natengenezea nyimbo lyrics na vitu vinavyohitajika
0 Reactions
7 Replies
4K Views
nawezaje kujijua ni rangi gani nichanganye zinaendana wakati nafanya drawing? au natengeneza picha? napenda kufahamu principles inayotumika ilikuleta muonekano mzuri!! na hii inaitwaje kitaalamu
0 Reactions
6 Replies
838 Views
Kwanza fungua WhatsApp yako, kisha click nukta 3 (three dots) kulia mwa simu yako, Kisha click PRIVACY Baada ya hapo utaona hivi vyooote na hap ni kwa ajili ya kuvificha ili mtu anaye chati na...
3 Reactions
58 Replies
15K Views
Naomba msaada wa ku hack game la Politics and War tafadhali Nipate cash na coins nyingiiii
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Msaada how to reset epson l382 Key yake msaada please
0 Reactions
1 Replies
533 Views
Waungwana tecno k9 inagoma kuwaka tochi pia camera inapiga ya mbele ila ya nyuma haionesh sehem ya kuigeuza ili iweze kupiga sijui shida nini?
4 Reactions
14 Replies
1K Views
Habar wanajf naomba kuuliza namna ya kuzuia notifications za Facebook zisiingie kwenye email yangu
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kutokana na uhaba wa free website hosting services, tumeamua kukuletea huduma hii FREE KABISA. Hakuna matangazo ya aina yoyote Pure cpanel Free Hosting Free SSL Certificate PHP Selector Free...
0 Reactions
2 Replies
813 Views
Habar wadau, Imekuwa bahati mbaya kwangu weekend iliopita nimevunja screen ya simu yangu halafu spea imekuwa mtihani kupata. Kama tunavyojua raha ya smartphone iko kwenye mengi hasa mitandao ya...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Habarini za Humu Hivi nawezaje kufungua Company Email kwenye Hotmonster ambayo itakuwa inaishia na co.tz mfano! IT@fulanihospital.co.tz
0 Reactions
7 Replies
1K Views
nilipokuwa shule nilifundishwa kwamba wingu la mvua ni barafu, sasa hoja yangu ni kwamba ndege inawezaje kupita hayo mawingu bila kupata hitilafu yoyote?
0 Reactions
7 Replies
3K Views
help me plz what are the difference between voluntary action and reflex action
1 Reactions
4 Replies
752 Views
Jinsi ya kununu app play store kwa kutumia vodacom airtime wamenileta hiyo option
0 Reactions
0 Replies
340 Views
Nina external hard disk ya "Transcend" ambayo nimehifadhi vitu vyangu vingi na muhimu sana. Sasa sijui nini kimetokea, tangu wiki iliyopita, kila nikiiweka kwenye computer(desktop au laptop) na...
0 Reactions
9 Replies
5K Views
msaada nawezaje kuziona email zilizozifuta?
1 Reactions
1 Replies
571 Views
Jana nilitumia computer kwa muda mrefu kidogo ingawa ni kawaida yangu kutumia hivyo.. mara ika zima ghafla, nilipoiwasha ikazima nimeiacha mpaka asubuhi, nimeiwasha tena ikaenda mpaka mwenye...
0 Reactions
2 Replies
870 Views
Back
Top Bottom