Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Kama kichwa kinavyojieleza, nauza hivi vifaa hapa chini; power supply ya dell workstation t5500, power supply ya dell ndogo, graphics card [galax] gb 2, pamoja na ram 4gb. Bei laki moja tu...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Wakuu leo nimenunua simu Huawei Ascend Mate 7. kumbe ina OS ya Kichina haina hata Google play store japo inafunction vizuri kwa baadhi ya basic apps za simu Yaani kiufupi nimepigwa. Sasa je...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
habar wadau.. juz nmeletewa cm na jamaa angu flan iv akdai cm ake imekuwa slow(nzto)aljarbu kla njia kuirudsha kasi yake akashndwa akataka nmsaidie kuiformat (kwasabu huwa akniona naformat...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
ni moja ya game nzuri za snipers ambayo nimeipenda. inaitwa contract killer sniper nachezea kwenye simu. tatizo inataka hatua nyingine ninunue silaha kali ambazo mimi sina pesa maana kuna silaha...
1 Reactions
30 Replies
4K Views
Habari wana JF Maktaba pekee ya mtandaoni Tanzania ( Tanzania Online Virtual Library ) imefanyiwa marekebisho makubwa ya muonekano, sikuwa nimepitia kwa kipindi cha zaid ya wiki moja sasa, ila...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Kama unahitaji game lolote la sm lilo hackiwa zile coin gold or money nicheki 0625672871 WhatsApp
0 Reactions
2 Replies
914 Views
Najua JF kuna wa taalamu wa kutosha kuhusu photocopy machines. Kwa anaye jua aina tofauti za photocopy machines, naomba anipe muongozo. Nina mpango wa kufungua stationery. Location ni nzuri coz...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Wana jf wenzangu ninawezaje kuunganisha namba ya mtu mwingine na namba yangu ili anapopigiwa niweze kupata details zote kwamba namba ipi imempigia na ameongea nae kwa muda gani na je ametumiwa sms...
1 Reactions
38 Replies
71K Views
Waungwana wa tech salaam! Nina tatizo. Nimenunua used laptop, HP Elite Book from Dubai. Baada ya kufika tu (jana), yule mtu ambae nilimtuma kuifuata akaiwasha na ikawaka lakini chaji ilikuwa...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Jinsi ya kuondoa kialama cha headphones kilichobak kwenye simu uku headphones zikiwa zishaondolewa
1 Reactions
4 Replies
683 Views
Nina iPhone 4 nimesaha pasword ya icloud ila natumia kama kawa ila siwezi kudownload kitu naombeni msaada
1 Reactions
4 Replies
537 Views
naoma kuuliza kuhusu software iitwayo GSM FLASHER TOOL ufanyaji kazi wake hitaji langu katika program hiyo ni kuflash cmu...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jinsi ya kuondoa kialama cha headphones kilichobak kwenye simu uku headphones zikiwa zishaondolewa
0 Reactions
3 Replies
486 Views
Jinsi ya kuondoa kialama cha headphones kilichobak kwenye simu uku headphones zikiwa hazipo
1 Reactions
2 Replies
602 Views
Jinsi ya kuondoa kialama cha headphones kilichobak kwenye simu uku headphones zikiwa hazipo
0 Reactions
0 Replies
451 Views
Habari wanajamvi. Nimefanikiwa kusetup SMS gateway hadi sasa uwezekeno wakutuma bulk sms umefanikiwa. Challenges; huu mlolongo wakusajili sender id upoje kwa mitandao husika hapa tanzania. Sms...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wandugu naomba msaada namna ya kuactivate MS Office 2019. Mie Inanisumbua sana. Natanguliza shukrani zangu.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Amani iwe nawe mdau wa JF. ➡ Ni muda sasa zoezi (naliita zoezi kwa sababu lina ukakasi) la utekaji wa raia tunaowaona hawana hatia likiwa linajongea taratibu wakati lilikuwa limesinyaa kwa muda...
0 Reactions
3 Replies
812 Views
Wakuu natakiwa kufanyaje ili napo signup propeller nipate Ads za kubandika kawaida isiwe tu Pop under
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom