Msaada pc yangu inatumia window 8.1, tatizo window defender haifanyi kazi ingawa shortcut yake ipo ila nikijaribu kutafuta kwenye orodha ya app inakosekana.
Natumia Simu ya Android ....nataka kudownload whatsaap web ila playstore haipo siioni ...na Google pia inagoma ....msaada plz naomba .......kuna uzi uliwekwa mda kidg kuhusu kuhack simu inabd...
Kama heading inavyosomeka hapo juu wadau naombeni msaada , deck inasoma "no disk" CD zote nimejaribu nimachemka Ila kwa jirani zinafanyakazi kama kawaida.
Habarini wana Jamvi. Kuna settings yoyote unaweza ukafanya kuifanya simu unapoandika message isikusahihishe? Masahihisho yake mengi inaleta tofauti na ninachotaka mimi.
RCD ni kifaa kinachotumika kwenye mfumo wa umeme iwe majumbani au viwandani na kinakuwa na uwezo tofauti tofauti kulingana na mhali kinapotumika.
RCD nyingi zinazopatikana ni 30mA,100mA na 300mA...
Ninahitaji msaada,
Nina printer moja inayoweza chute copy na pia ina fax (wanaziita hizi All-in-One), sasa naamini naweza kutumia namba ya simu ya mkononi kama Fax number na kuiset kupokea...
Habari za muda huu waungwana...naomba kujuzwa...huu mtandao bado upo?..nina simu ya mezani ya sasatel sijaitumia muda..nimeiwasha naona imeandika NO SERVICE....Kama haipo je simu hyo inafaa ku...
Jaman naombeni msaada kwanini hizi sabufa za kichina mfano sea piano zinakufa mapema sana haswa kwa sauti kubwa. Naombeni msaada na mwenye idea ya kutengeneza nimefungua nimekuta resistor zimekuwa...
Wakubwa poleni na majukumu ya kutafuta riziki, naomba kujua kwa wataalamu wa mambo ya kompyuta,je? Laptop yenye spesification hizi inafaa(inaweza) kucheza magemu heavy na kufanya kazi kubwa...
Habari za jioni wadau. Ni siku nying hatujapeana salamu.
Ninauhitaji na vitabu vizuri vya electronics vinavyo elekeza jinsi ya kusoma electronics na ku design
Kama naweza pata sehemu au kwa mtu...
HIZI SIMU ZA ITEL KUGANDA KWA LOGO IMEKUA TATIZO SANA WATU WANASHIDWA KULITATUA SOLUTION NYINGINE HIII HAPA NINAZO KAMA 4 SOLUTIONS.. ANGALIA NILIVO FLASHING DONE...
DOWNLOAD...
Habari wana jf , ninaomba mwenye kujua naweza nikapata wapi disply ya sumsung galax s6 edge simu imeanguka na kioo kimepasuka touch hoifanyi kazi simu inaweka chengachenga sana. Nisaidie mwenye...
Habari wana jamii forum nimeamua kujichangachanga nikanunua simu samsung galax s6 edge mpyaaaa kweli kako vizuri ila hii simu nikiwasha data inaapata moto mnooo afu haitunzi charge, nikicharge...
Habarini wadau naombeni msaada wenu wa kitaalamu kama kichwa cha habari kinavyosema napata huo ujumbe kila ninapowasha pc yangu kwamba leseni yangu ya kutumia windows inaisha mda siyo mrefu lakini...
Njoo nikutengenezee android application kwaajili ya website yako kwa gharama nafuu sana
tuwasiliane kwa
+255 759 702 766
info@clicktech.co.tz
Km hauna website usijari nitakutengenezea nayo karibu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.