Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Habari zenu wapendwa!!! Kwa muda mrefu natafuta namna ya kutuma pm but nashindwa niingie wapi. Najua almost woote humu ndani ya nyumba mnajua, naomba nami mnisaidie nijue tafadhali. Thanks in...
0 Reactions
23 Replies
6K Views
Kwa yoyote jamn mweny saketi ya tecno camon cm tunaweza tukafanya mawasiliano
0 Reactions
0 Replies
679 Views
Msaada jinsi ya ku-unlock techno N2 iwe inatumia line yeyote ile..........
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Msaada wakuu kama heading inavyoelekeza hapo juu naomba msaada wa kuweka Tab kwa ajili ya Registration kwenye blog ila sasa katika hiyo menu tab iwe na sehemu ya malipo nimedesign blog yangu kwa...
0 Reactions
0 Replies
931 Views
Nimekwama padogo sana na nimejitahidi kila kona mimi kama mimi, ila nimekwama. Siwezi kutumia telegream app kwa bando la kawaida la mtandao husika katika hii nchi ya kiarabu, isipokuwa mpaka...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Wadau natafuta line au chip ya namna hii. Sim card ambayo itaweza kufanya Roaming popote niendapo hata nje ya nchi huku nikiweza kupokea na kupiga simu bure bila kikomo, kupokea na kutuma SMS bure...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Natafuta mtu wa kudesign website
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Used for 2months.. Still look new and clean Hamna mkwaruzo hata mmoja Njoo PM if you are interested
0 Reactions
1 Replies
713 Views
Kama kichwa cha habari kinavyoeleza hapo, natumia simu aina ya simu Nokia Asha screen touch, nimejaribu lakini nimeshindwa kuna mtu sitaki awasiliane na mimi
0 Reactions
28 Replies
7K Views
Wadau mmeamkaje Nna laptop yangu aina ya HP G62. Feni yake inazunguka kwa sauti sana na mara nyingi computer huwa inazina halafu naiwasha tena lkn baada ya muda inazima tena. Na ikiwaka naisikia...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habarini wanajamvi. Shida yangu ni kuhusu net katika simu yangu yaani nikijiunga na mb 200 basi ni dakika tu kinaisha wakati nimefungua data tu tena kwa kuperuzi tu jf ndani ya dakika 20...
0 Reactions
27 Replies
8K Views
Nnaomba msaada ,ni king'amuzi gani ambacho sio cha kulipia kwa mwezi ambacho ninaweza kupata mpira league ya uingereza....Na bei yake ni shilling ngapi?
1 Reactions
25 Replies
5K Views
This sounds filmy, but Google Project Zero security researcher Natalie Silvanovich found a critical vulnerability in WhatsApp messenger that could have allowed hackers to remotely take full...
0 Reactions
0 Replies
507 Views
Naomba msaada wa kufahamishwa mtandao upi wa simu una bundles nzuri na za bei nafuu? Mimi uwa napenda sana kudownload movies, series nk, sasa tangu voda waondoe kile kifushi cha masaa 24 kwa sh...
3 Reactions
74 Replies
16K Views
Wakuu habarini za asubuhi? Samahanini wakuu,Leo nipo huku Upareni milimani Mamba Miamba sasa Wazee wangu nimewanunulia dish la Startime sasa ishu ipo kwenye how to install iyo kitu,Kidogo nina...
0 Reactions
63 Replies
6K Views
Habari za mida wakuu,kuna mbinu flani imejitokeza kwa baadhi ya watu wachache ya kuunga vifurushi hasa gb 60 kwa sim card za voda kwa kubadili IMEI za simu hasa Tecno Y2,Huawei na nyingine...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari za jioni wazee wenzangu. Nahitaji Brand new Galaxy J7 pro Mpyaaaaaaaaaa Njoo na bei yako, Pia kama una simu yenye specifications kama hii pia Njoo lakini isiwe chines Brand
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu kwa wiki nzima nashindwa kuona status za watu wala kupata meseji za group . Nikijaribu kupost status kwangu zinaonekana ila za wengine nashindwa kuziona ,tatizo nini hapa?
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Habari wakuu Natumai ni wazima namba kujuzwa namna ya kutengeneza app ambayo itakua na uwezo wa ku stream online na kudownload ... Nawasilisha
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Naombeni software ya encoder
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom