Habari wakuu huu uzi ni kwa wanajamvi wanaopenda video games ziwe za pc, ps, x-box, psp nk
Leo nimependa kujaribu kuweka list ya game ambazo ni zinakuja kwa kasi sana japo sio zinapendwa na watu...
wakuu,
nahitaji simple satellite finder nimeona hawa mafundi wa madishi tunazinguana tu..nahitaji satellite finder nipo mkoani ila natarajia kwenda dar hivi karibun..wapi nitapata hiyo kitu na...
Bongo TV's ni app mpya ambayo unaweza. Kuangalia channel kutoka Tanzania na nje ya Tanzania kama aljazeera,DW,CCTV bila kusahau channel za michezo.kwa sasa ipo katika majaribio nakaribisha maoni...
hackers kutoka Tanzania waingilia tovoti ya universtiy of dar es salaam kitengo cha aquatic
wanadai serikali inawasomesha lakini ajira wanapeana kindugu na zoezi hili ni endelevu...
Habar zenu wakuu,,
namiliki simu aina ya Samsung ni week sasa tangu niipate tatzo linalonisumbua kipa mda inaniletea up ujumbe Unfortunately WhatsApp has stopped,
Nmejaribu Ku ireset na kudownload...
Habari za saa hizi wanajamvi. Kuna tatizo leo nimeliona kwenye account yangu ya Adsense na cjazoea kabisa.
Nina PAGEVIEW 3200 kwenye blog yangu lakini nikifungua Adsense account kuna PAGEVIEW...
Habari wakuu
Microsoft office wametoa version mpya ya 2019 ikichukua nafasi ya mso 2016
Naona wanaisifia sn kwaba ina features nyingi na nzuri. Ila kikubwa sasa ndio inauzwa USD 49.99.
Ombi kwa...
Heshima kwenu, video file zangu zote pamoja na photo zote zinaonesha type of file: CEPVI File (.cepvi), na sasa hazifunguki. Msaada tafadhali, nimetafuta msaada kwenye net nimekosa
Kizuri Kushare
Kuna offer inaendelea Kwa Domain Ni $0.88 pamoja na ICANN fee $ 0.18 total inakuwa $1.06 = Tsh 2,419 kwa mwaka ila ku renew baada ya mwaka ni kama $13
Kununua domain kwenye landing...
Habari zenu,
.
Mwaka 2001,niliamua kuwa karibu na kompyuta.Katika mambo mengi,nilikutana na neno Virus,Nilitaka kufahamu inasababishwa na nini?halafu nikafanikiwa kufahamu namna ya kukabiliana na...
Naomba maelezo zaidi,unahisi ni battery la mashine gani?imekaa kama dell zile za zamani kabisa ila sikumbuki model.Wadau msaada jamani mzigo huu nataka nikauze.bei ya makisio 35,000/ tunaweza pata...
Wadau habarini za kwenu
Plz naomba mnisaidie namna ya ku- Google na kusoma vitabu mbalimbali online lakini pia namna nitakavyoweza kupata free e- books ....msaada tafadhali
Wakuu kwema...
Nina laptop yangu acer aspire v3-531 haipeleki chaji ghafla tu wakati naitumia na adapter inaonesha moto upo nimejaribu na testa,.
Shida hapa itakua ni nini wakuu???
Bongo TV's ni app mpya ambayo unaweza. Kuangalia channel kutoka Tanzania na nje ya Tanzania kama aljazeera,DW,CCTV bila kusahau channel za michezo.kwa sasa ipo katika majaribio nakaribisha maoni...
Habari wanajamvi
Katika kupita pita mitandaoni nimekuta jamaa wananadi kifaa hiki MXQ Pro 4K ambacho ni kisimbusi ambacho unalipia wakati unanunua tu yaani 80,000/=. Baada ya hapo hakuna malipo...
Watalaam kwema? ,chaja yangu ya laptop aina ya Asus imeacha kufanya kazi ghafla.
Naomba msaada wenu kujua nini tatizo juu ya Chaja hiyo na nifanyeje ili iweze kufanya kazi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.