Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Naomba nielekezwe jinsi ya kufungua simu yangu iliyo fungwa itumike na mtandao mmoja tu.
0 Reactions
15 Replies
14K Views
Hii laini nimeisajli juzi lakini chakushangaza inagoma Ku connect internet, nimeweka internet settings walizonitumia tigo lakini kila nikifungua data haionekani juu ya simu nimejaribu kwenye...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Heshima kwenu wana jf. Ndugu zangu nilifuta video zangu kutoka kwenye pc. Nimetumia minintool recovery, recuva, easus data recovery mwisho wa siku nimeambulia kupata baadhi ya clips za video hii...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Naomba sapoti yenu nami pia nitatoaa sapoti kwa lile ninaloliweza tukutanane hapa mbezitz kwa tool na mafunzo ya kutengeneza simu Vijana tuwezeshane katika kauli ya viwanda tukikutana wanne...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
wakuu heshima yenu naomben mwenye iphone 6plain yenye icloud au kioo genuine cheupe anicheki kupitia 0682018204
0 Reactions
0 Replies
435 Views
Anae hitaji app nauza nnazo mbili moja inausu group link za whatsapp nyingine inausu mambo ya vichekesho pia anae hitaji Google play account nauza bei maelewano nicheki pm tufanye biashara
1 Reactions
2 Replies
843 Views
AMA KWA HAKIKA UKAWA WAMEJIPANGA BARABARA MWAKA HUU, TEKNOLOJIA YA DRONE CAMERA NADHANI NI MARA YA KWANZA KATIKA MEDANI ZA KISIASA NCHINI. WADAU WA TEKNOLOJIA KARIBUNI TUJAZANE ZAIDI JUU YA...
9 Reactions
77 Replies
22K Views
Napenda kujuzwa jinsi ya kuondoa Activation Lock kwenye simu ya iPhone 7. Au Hakuna uwezekana wa kuondoa. Karibuni
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari wana JF, Natumaini wote mnaendelea salama, Najua kuna watu bado wanasumbuka kutafuta App kwaajili ya tovuti zao za wordpress, Kuliona hilo Tanzania Tech tunawaletea App ambayo mtu yoyote...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Naomba msaada wa kujua ni sabufa gani ina Bluetooth maana mimi ninayo ya latec lakini naona kama haina bluetooth. Msaada mwenye kujua
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Kuna simu nimeletewa kutoka ng'ambo lakini kidogo inanichanganya. No simu aina ya LG Phoenix 3. Wao wameandika 4G LTE, lakini ukiweka sim card kwenye mtandao inasoma we EDGE. Nimejaribu kuangalia...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Wakuu habari zenu, Tangu jana nimeshindwa ku connect Wi fi kwenye Laptop Hp kwani ile button (taa)ya Wi fi kwenye keyboard hata nikibonyeza haibadilishi rangi ili kuwasha Wireless connection,rangi...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu habari za saa hizi, mm nna king'amuzi changu cha azam sijakitumia muda mrefu kama miezi mitatu sasa leo nimeamuwa kukitumia lakini kinaniandikia kuwa smart card is expired so wakuu nifanyeje...
0 Reactions
4 Replies
26K Views
Naomba kupatiwa msaada kwa tatizo hili maana C P U ni ya mtumba aina ya HP nimenunua nimeona hyo shida na ina siku 3 tangu nimeinunua..nimejishauri kuirudisha lakini nikaona si vyema kwanza kabla...
0 Reactions
3 Replies
853 Views
Kwa ambao mtakuwa mnafatilia processor za Hi-silicon kirin. Mnaweza kuona kwamba nayo ni moja ya processor nzuri na mtumiaji mkubwa wa hii processor amekuwa ni Huawei kwa sehemu kubwa...
1 Reactions
5 Replies
944 Views
Nitumie apps gani kudownload music ili niweze kusikiliza muda wowote.
0 Reactions
14 Replies
5K Views
mwaka jana nilinunua nissan march 2001 model,naitaji baadhi ya spare ambazo hazipatikani hapa kwetu naomba msaada nitaagizaje spare nje?
0 Reactions
28 Replies
5K Views
Habari wana JF, Natumain wote humu mko salama kabisa. Leo tulikuwa tunatafuta app nzuri za kitanzania za kushiriki na wasomaji wetu wa tovuti ya Tanzania Tech, lakini kwa haraka haraka...
4 Reactions
33 Replies
5K Views
Habari wakuu wa Vitengo popote mlipo Naomba kujua ubora wa hizi tablets za CCIT. Naona ni tablets zenye specifications nzuri lakini naona bei yake ipo chini. Naomba experience kwa mtu yoyote...
0 Reactions
0 Replies
795 Views
Back
Top Bottom