Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Habari zenu wakuu Simu yangu sielewi ina tatizo la betri ama laa. Nikicharge ikifika 100% nikichomoa inakuja 99% au saa zingine 95% Na si chini ya watu wa3 mpaka wa4 nimewasikia wanalalamikia...
1 Reactions
32 Replies
3K Views
Pc yangu ikipata internet kwa muda mrefu inaganda. Natumia window 10. Naomba msaada wakuu.
0 Reactions
0 Replies
375 Views
Habar zenu wakuu Naomba msaada hivi karibuni nimenunua Home theatre ya mtumba aina ya LG sema nimekosa waya wa fm antenna wapi naweza kupata nimejaribu kwa mafundi nimekosa...nipo DSm
0 Reactions
1 Replies
554 Views
Ninshida na pc natakununua laptop ila cjui laptop ipi ni nzuri na ina sifa gani na ubora wake kwa ujumla. kwa wanaofaham naomba wanijuze
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Wakuu, Tangia nime restore CM yang tecno w4 kila nikiconnect internet kweny PC inaniambia limited... But hapo nyuma haikuwa hvo Jana nimejaribu kumconnect CM ya mtu kwa wireless yang iliandika...
1 Reactions
6 Replies
903 Views
Wadau habarini.... Kutokana na mambo kurahisishwa sasa hivi kwamba unaweza check movie online sio km zamani uanze kutafuta maCD, DVD au download. Nimependezewa na kuangalia movie online ila sasa...
1 Reactions
12 Replies
3K Views
Ijue Njia rahisi ya kujua sifa na uwezo wa Computer yako.
1 Reactions
16 Replies
5K Views
mafundi tujuzane kuhusu ufundi sm kama vile mic umekufa njia zake,speaker,vibration,batan kufa mstari mmoja kwenda kulia ama kushuka,system chaji kufa njia zake,network kuchubuka njia moja,
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari wana jf mi n mgeni ninaomba yeyote anaejua jinsi y kutumia intanet bure kweny pc nliona post zaman kuhusu ili suala ila ckuweza kufatilia kwa kina sababu c kuwa na pc. Msaada wenu jaman.
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Hivi sasa kuna uwezekano wa kusomwa meseji za wateja katika mitandao tofauti bila ridhaa yao au bila agizo la kimahakama, Secure SmS haita muwezesha mtu yeyote kujua nini ulicho muandikia rafiki...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Wakuu naomba msaada jinsi ya ku bypass google account password without recovery email au phone number
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Habari za usiku ndugu zangu,najivunia uwepo wenu koz hakuna kinacho shindikana mbele zenu Nina shida na comoyuta yangu ni lenovo b 50 now ina window 7 nlinunua kwa jamaa ina HDD 500 GB RAM NI 4GB...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Wakuu habari za humu ndani Nina tatizo la device zangu kushindwa ku access emails za gmail, ninatumia mtandao wa TTCL ninatumia hotspot tethering kutoka kwenye Tablet ya Lenovo. Website nyengine...
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Kwa anaeleewa jinsi ya ku unganisha android SIM iweze kutoa hotspots kwa laptop iweze share Wi-Fi kwenye internet anisaidie plz
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu Naomba Mwenye kujua jinsi ya kubadili maandishi (font) kwenye sim msaada tafadhari anisaidie nisharoot sim tayari.
1 Reactions
8 Replies
5K Views
Habari zenu wakubwa ,tokea zamani nimekuwa nikivutiwa na mfumo wa computer na baadae nikajua unaitwa programing na kutokana na kufuatilia kwa watu wanasema hivi vitu hata mtandaoni unajifunza...
0 Reactions
17 Replies
1K Views
Heshima kwenu wakuu wa jukwaa hili. Mi si mtaalam wa IT japo nina idea kidogo. Naomba kufahamishwa kazi za hivyo vitu kwenye computer... Kwa mfano kwa processor zipo za aina ngapi au zipi ni...
1 Reactions
25 Replies
20K Views
Habari wakuu! Naomba kujua namna ya kuangalia local channels kwa smartphone
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Wakuu kwa ambae anatumia s7 edge hizi zianazouzwa laki 7 mpaka 8 ebu anipe uzoefu wake. Nataka kununua hii simu sasa sijui mapungufu yake,kinga ni bora kuliko tiba.
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Je ni kwel tech business inalipa kuzid biashara yoyote ile?
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Back
Top Bottom