Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Jaman habari naitaji mtu ambae anaweza kunsaidia kujiunga niwe nasajili watu kifurush cha university offer .Mambo ya Hela tutaongea zaidi unaweza ukafanya kucoment au ukanitext tu (0753395920)...
0 Reactions
17 Replies
4K Views
Hahitaji projector ndogo.. ambayo naweza connect na simu...!
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kwa wale Wadau wenzangu najua wengi wenu mmezoa ku-burn DVD video kupitia software ya NERO 7/8,window 7 Dvd maker n.k.kuna hii Software inaitwa Adobe Encore ambayo huja sambamba na Adobe...
0 Reactions
3 Replies
794 Views
Heri wanajamvi. Ni tumaini langu mu wazima wa afya. Nahitaji msaada. Nina mteja,anatumia Printer ya HP Laserjet 1320. Machines zake zina windows 7,8 na 10. Badhi 32bits nyingine 64bits...
0 Reactions
0 Replies
571 Views
za mchana wadau? nna swali hapa linanitatiza hv nikitumia vpn kwa pc ya kazini naweza kublock na kuhack zile internet security wanazozifungia kwa baadhi ya websites.
0 Reactions
6 Replies
826 Views
Moja kati ya game kali sana enzi hizo, nimeitafuta kwa siku 2 mfululizo bahati mbaya nashindwa kuipata ambayo inakubali ktk windows 10, sijajua nalosea ama vipi.. Je kuna mtu ambaye anayo hii...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kama ni mgeni wa kuroot soma hizi kwanza[emoji116] Jinsi ya ku unlock bootloader kwenye tecno Twende sasa MAHITAJI Kompyuta Recovery Super SU Vcom drivers SP flash tool Baadhi ya...
3 Reactions
20 Replies
7K Views
Naomba mwenye uzoefu na brand hz mbili za simu toka China ipi bora? Ukirecommend na model itapendeza, nawatakia jioni njema
0 Reactions
12 Replies
2K Views
ni dj academy ipi nzuri?? nataka niende wakanitrain zaidi.. na je gharama zake zikoje??? ntashukuru sana nikipata majibu..
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hii hapa ni jinsi ya kuweka window kwa kutumia flash. 1. Tafuta software inaitwa power iso. 2. Install hiyo power iso. 3. Uwe na flash kuanzia gb 4 kama unawepa windows 7. 4. Tengeneza image...
1 Reactions
27 Replies
18K Views
Wadau kuna jamaa yangu ana simu tecno k7 Ila alisahau patten,gmail aliyosajilia awali na hata namba ya simu maana laini yake ilipotea akasajili mpya na mbaya zaidi alimpa MTU akamfanyia head reset...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
WAandugu habarini nimeibiwa simu aina ya sumsang J5 grand prime. Nimeripot kituo cha police na kufungua jalada la uchunguzi. Nina IMEI namba za hiyo simu. Kikubwa nilipapuliwa na Boda Boda wakati...
1 Reactions
28 Replies
4K Views
Habari zenu ndugu zangu wataalam wa haya maswala, ninahaja sana app ya kutafasiri kitabu kutoka English to Swahili, au Swahili to Englishi, kiafaransa na kijerumani Naomba msaada huo wataalam...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nina memory card yangu ya Tecno 32 Gb tatzo lake ni kidownload music mfano music umeingia kwenye phone storage nikitaka kucopy nikipeleka kwenye memory music hau play sasa sijui nn ni tatzo mpaka...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Samahani sana wakubwa. Naomba kuuliza kwamba, je nawezaje kuunganisha simu janja (smartphone) na projector? Je ujanja gani nitumie ili niweze kuunganisha simu itumike moja kwa moja kwenye...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Laptop yangu imegoma kuwaka inaniletea hilo neno hapo.. Hii ni baada ya kuizima jana leo kuwasha imekuwa hivyo.. Shida inaweza kuwa nini wadau?
0 Reactions
2 Replies
776 Views
Habari Wakuu, Baada ya Vodacom kupandisha gharama ya vifurushi vyao. Nimeamua kuiweka line yao pembeni na kuchukua TTCL. Ila sitaki kupoteza wateja wangu wa Vodacom. Nahitaji kudivert line ya...
1 Reactions
15 Replies
5K Views
Hivi ni lini Africa tutafikia kuwaza na kubuni vitu vikubwa kama vya wenzetu?
0 Reactions
4 Replies
776 Views
Kampuni ya mawasiliano vodacom nao wapandisha bei vifurushi vya ofa vya chuo sijui tukimbilie mtandao upi wakuu
0 Reactions
86 Replies
11K Views
Back
Top Bottom