Msaada aliye na utaalam wa ku-convert video kutoka mp4 kwenda mpeg4 naomba anisaidie nitumie app gani ambayo nitadownload kwenye sim
Au nisaidie app ya kudownload video kutoka YouTube moja kwa...
Habari za mda wakuu
Nahitaji laptop aina ya hp inayotumia processor ya AMD fourth generation yenye Ram kuanzia 4GB na HDD mia 500 kioo kikubwa kuanzia nchi 18 au 16
Kiasi laki 300000
kwa mara kwanza kuziona power bank sokoni nilizani watu wengi tunao tumia smartphone tutakuwa tumekomboka. kumbe nilikuwa nawaza kinyume chake.
na toka nianze kununua power bank sijawahi...
NALA ni App ya kufanya miamala kupitia simu ya mkononi kwa kutumia mitandao hii ya simu.
Imeundwa na Mchizi alie maliza Stanford University, Benjamin Ferdnandez yule alie kataa mshahara wa USD...
Habari za jioni wana jf dhumuni la Uzi huu kutaka kuwauliza wapenzi wa filamu za kimarekani kama mimi ni kinga'muzi kipi nitapata channels za movies za nnje kwa bei nzuri za malipo ya mwezi...
kama kichwa kinavyojieleza... naomba msaada kujua wapi ntapata Rane controller.. mwanzo nilikuwa natumia pioneer ila nimeshaichoka.. ntashukuru nikipata majibu hapa..
Salamu,Kama uzi usemavyo naomba mwenye kufahamu apps nzur za kuhide background kweny picha na kifanya editing tofautitofauti kweny picha anisaidie. Msaada wenu pls..
Habari za siku wadau
Na site yangu nataka niweke urahisi wa mtumiaji kulogin kwa facebook bila kuangaika kujisajili sasa nimeijaribu hii app ya Facebook nikitaka niifungue napata error hii
"URL...
Naomba ujuzi jinsi ya kupata google analytics property tracking ID nimejaribu pale kwenye countries sijaona tz ambaye amesha pata hii account naomba msaada.
Wakuu naombeni msaada kidogo wakujua app nzuri ya kulinda simu.
Simu yangu inanipa presha sana,wezi wameikosa kosa kama mara 3.
App nyingi hazifanyi kazi vizuri,nyingi mpaka uroot simu.Kwa upande...
Wadau habari za mchana nilikuwa nahitaji kujua kuwa mechi za kesho za kombe la Carabao cup kati ya man united vs derby county na ya kesho kutwa kati ya Chelsea vs Liverpool zinaoneahwa na...
Samsung kuna kitu inapaswa wajifunze kutoka kwa wapinzani wao apple inc,nasema hivi kwa sababu haya ni maoni yangu binafsi na mtazamo wangu juu ya kampuni kubwa kama hili kuwa kila siku wanafanya...
Habarini wakuu..
Kwa mwenye uelewa juu ya hiyo kitu naomba msaada tafadhari..
- ina-cover nini(coverage yake chuon au curriculum yake)
- soko lake la ajira tz likoje
-vip kuhusu uhusiano wa...
Ni dhahiri kabisa kuwa bila simu za tecno watu wengi tusingekua tunatumia smartphone.
faida kubwa ya simu za tecno ni kua
*Bei ni rahisi hadi 150k tshs
Hii inasaidia watu kutumia kipato chao...
Mimi ni mhitimu wa kidato cha sita 2018 mchepuo wa ECA na nimechaguliwa kujiunga na chuo kikuu cha Dar es salaam,kitivo cha uhasibu .Swali langu je,naweza kuwa Programmer au Blogger mzuri kwa...
Wakuu habari za mchana,,
Naomba mweny link ya firmware ya y3 plus ya 2016 aiweke hapa jukwaani...au kama unaweza nisaidia backup pia nitashukuru wakuu...files ninazokutana nazo ni za 2015 model...
Habari wana JF,
Nahitaji Kuboresha Mfumo wangu wa Malipo katika Website yangu Maana Inatakiwa Mtu Aweke pesa kwenye akaubti yake (Deposit) au atoe pesa (withdraw) kwa kutumia Njia ya Simu ambayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.