Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Habarini? wakuu najua hii hutegemeana sana na idadi ya watu wanaotembelea hiyo site. Ningependa tu kujua kwa wastani huwa wanalipaje. kama una taarifa kuhusu malipo kwenye TV, radio, youtube...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Ever wondered how the tower crane at construction site grows with increasing building height ,it lifts itself by own bootstrap. Easy Sunday.
1 Reactions
1 Replies
399 Views
Simu yang nikiiwekea lain inasema sim locked alafu nikitoa inakua safi je nini tatizo maana inaonesha ivo kwa kila laini wakati hakuna lain ambayo nimeifungia
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hili la note 9 huyu mpaka kafungua na Kesi kabisa Woman sues Samsung after Note 9 phone 'burst into flames' inside purse Not(e) Again - Samsung Sued By User As Galaxy Note 9 Bursts Into Flames...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
msaada tofauti ya hizi course na ipi ni nzuri zaidi Computer science, Information technology (ICT) na computer engineering
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nimekuja na Uzi huu kwa ajili ya wanajamii forums wale wapenda followers nifuateni trick hizi ila kama unayo nyingine tupia humu tuwapunguzie watu wanaonunua akaunti wasiibiwe. 1.follow watu wengi...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Habari zenu ndugu zangu wa JF: NIMENUNUA UPS MPYA MIEZI KADHAA NYUMA ILI NIITUMIE KWA BAHATI MBAYA HAIKUWA HIVYO NA NILIAMUA KIHIFADHI NDANI IKIWA HATA BOX SIKUCHANANA,SASA NIMETOA KILA...
0 Reactions
1 Replies
690 Views
Habari wanaJF, natumaini wote ni wazima. Mimi ni member mpya kabisa waJF natumia muda huu kuwapa website mbili bora ninazozitumia mimi kutazama movies online hii ni kwa wale wote wenye mapenzi na...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari jamani,, laptop yangu ni dell, niliiwasha ikawa inafanya updating baada ya muda ikafail kuupdate nikaamua kuuzima tena ili niiwashe upya baada ya hapo ikawa inawaka lakin haimalizii kuwaka...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Samahani jamani mimi nina sim aina ya Tecno s1, juz nlii update sasa wakati inawaka ikaniandikia enter ME lock,sasa mmi sijaelewa hyo ME lock ndo ipi.tafadhari naombeni msaada
0 Reactions
5 Replies
1K Views
katika dodosa dodosa zangu nikakutana na kesi matata baina ya Google na jumuiya ya waandishi huko marekani japo kesi iliisha kwa Google kushinda kwa mianya ya kisheria kwa matumizi ya Fair use...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Naomba kujua ni chuo gani ama mahali gani nitapata kozi za muda mfupi kujifunza innovations hasa fabrication za mashine mbalimbali zinazohusiana na kilimo na mifugo?
2 Reactions
1 Replies
592 Views
Wale wanaoibeza na kusema Tecno sio simu nzuri nafikiri hawazijui. Kwa mwaka wa tano sasa natumia TECNO sijaona tatizo lolote. Kazi zinapiga fresh. Design, na mengine kibao
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Kwanza kabisa habari wakuu. Well, kuna baadhi ya simu nilikuwa natumia zamani kidogo ilikuwa ukiongea na simu unaweza kuweka noisy environment unapoongea na simu mtu akajua kama vile upo sehemu...
1 Reactions
44 Replies
3K Views
PC yangu hp elitebook 8470p nikiwasha inatoa maelezo fan doesn't work correctly nifanye nini kutatua tatizo hilo
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Mwenye kujua jinsi ya kuongeza followers insta wa kibongo tujuzane.shukrani
0 Reactions
1 Replies
367 Views
Nimenunu subwoofer aina ya Aborder Model:AB 118 Nimetumia dani ya wiki mbili Sipeaker ndogo zimegoma hazifanyi kazi Hapo tatizo nini Naombeni msaada wenu Asanteni
0 Reactions
3 Replies
778 Views
Naomba msaada mwenye kujua kama m pesa inaweza kutuma na kupokea pesa mitandaoni anijuze
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Imedondoka... imepata nyufa kidogo kwenye kioo cha juu lakini wino haujavujia! Swali; kuna haja ya kununua screen mpya? Ama hiihii yaweza fanyiwa matengenezo?
0 Reactions
26 Replies
3K Views
*MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIA KUEPUKA MATUKIO YA MOTO UNAOSABABISHWA NA UMEME MAJUMBANI*. napenda kuwasalim ngud wana jukwaa wote na badaa ya salam naileta kwenu kama nilivoipokea kutoka kwa mtaalam...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom