Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Mwanzo Unit 5 ni dakika 1 mitandao yote saivi unit 50 ndio dakika 1, voda mmezingua
1 Reactions
22 Replies
4K Views
Habari za mchana wakuu, kama title inavyoonekana, kumekuwepo na matukio ya moto ktk vyombo vya usafiri haswa mabasi na malori makubwa yaendayo mikoani na nchi za jirani. Ningependa kupata...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Habari, kwa aliye na iphone 7 plus icloud locked na anaiuza naomba anicheck kwa namba 0765136774
1 Reactions
3 Replies
933 Views
sory kwenu wadau kama kuna mtu anaweza nisaidia software ya azam tv inayotumika kwenye computer inayotumia windows. nitashukuru sana kwa atayenisaidia kuipata hii
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Naomba msaada PC ( hp EliteBook 8470p ) hai-connect Wi-Fi nifanye nini ili niweze kutumia Wi-Fi
1 Reactions
3 Replies
485 Views
Hivi wakuu cmu hii ishaingia sokoni tayari kama imeingia kwa hapa bongo inapatikana wapi kwa anayejua naomba anijuze.[emoji122]
0 Reactions
5 Replies
735 Views
Salaam wakuu, nimejaribu ku update OS ya mac yangu ila imenishinda. Kila nikijaribu ku command kwenye mac OS high siera inaniambia software haziendani... Msaada pls, OS version yangu ni 10.8.5.
0 Reactions
0 Replies
355 Views
Ni tecno y3+ ina-stuck mara kwa mara Nimejarib kufupunguza baadhi(hasa apps) nikaflash na kufanya factory reset lakin bado nzito Inaniletea jumbe hizi
0 Reactions
11 Replies
1K Views
jst updates
0 Reactions
1 Replies
703 Views
Habari za kazi wadau,naombeni kusaidiwa kwa hili.Nimenunua mzigo ebay leo asubuhi kwa kutumia paypal,lakini baada ya muda kuingia tena kwenye akaunti yangu ya ebay,nimeshindwa tena kuingia.kila...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Jaman habar zenu .samahan Nina katatizo kidogo nimeajaribu kudownload movie kupitia pirate Bay but Inanambia 503 error . nimeajaribu fz movies imegoma hebu nisaidien Kama Kuna mtu Yuko vizur maana...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Habar zenu wanaJF.. Hii ni post ya kwanza kwnye jamvi hili, natumaini ntapata ushirikiano wa kutosha (In shah Allah) Nimepata changamoto kwnye PC yngu. Natumia dell lattitude 64000. Mara ya mwsho...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Nimetengeneza website na app inayowakutanisha wauzaji na wanunuzi hii hapa Gulio Store pia App yake imeshakamilika bado kuiweka playstore ila hii yangu nataka niwe specialize kwa wauzaji wa jumla...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Naomba mwenye app ya kutengeneza lyrics na app ya ku andaa video kama za youtube naomba anichek tafadhariii
0 Reactions
0 Replies
596 Views
Kama ilivyo hapo juu, kuna simu yangu aina ya Nokia c6 ina tatizo la mkanda unaounganisha processor na kiio/ display screen. Mwenye kujua au mwenye kuniwezesha nipate huo "mkanda" tafadhali...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Daima mbele. Nyuma mwiko.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Naombeni msaada wa kupanga matokeo ya wanafunzi kwa kutumia Division ama kama kuna software inayoweza kutumika nisaidieni
1 Reactions
7 Replies
4K Views
Condition: New Processor: Intel Core i3 (6th Gen) Hard Disk: 500 GB RAM: 4 GB Display: 15.6" Operating System: Windows 10 Pro 64-Bit Additional Software: Microsoft Office Professional Plus 2013
0 Reactions
37 Replies
3K Views
Tecno pouvoir 2 ina camera nzuri memory 16gb ram 2gb ipo sokoni bado mpya haijatumika sana bei 170 kwa anaehitaji 0746112221
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Kuna website and androids apps inayopatikana play store kwa jina la SOKOVITU, ni apps nzuri kwa ajili ya advertisement ya Real estates, Magari, aina mbalimbali za Nguo pamoja na aina zote za...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom