Jamani naomba ushauri kutoka kwenu nilikua nataka kwenda kusomea kilimo na pia napenda niji ajiri kupitia kilimo ila nilikua naomba mnishauri nika some au niji ajiri kupitia kilimo msaada wenu...
Habarini za mida wana JF wenzangu,
Nimekuwa nasoma vitabu juu ya kutengeneza tovuti kwa kutumia lugha kama vile HTML,JAVASCRIPT,CSS.
Ni projects zipi ambazo naweza kujaribu kuzifanya ili kujiweka...
Leo jukwaa limepata aibu kubwa baada ya mdau mkubwa wa masuala ya teknolojia ndugu CHIEF MKWAWA kuingia katika mkukumbo wa kuanza kusifia takataka za China dhidi ya iPhone.
Wadau tuwe wakweli tuu...
Siku kadhaa zilizopita niliibiwa simu yangu, na nilichofanya ni kufata taratibu zote za kipolisi kama kufungua kesi. Kwa sasa file la kesi liko kwa mpelelezi na akanambia atakachofanya ni kuandika...
Silicon Valley is a place located just south of San Francisco, California. Even though I feel it should include San Francisco (I know lots of programmers who live there). The reason why it has...
Yaani tangu wa apdate tuu hii web aplication basi mimi na JF sio marafiki tena nilikuwa natumia smartphone nikaiuza sasa huwa natumia ka tekno ila tangu wa apdate tuu hii web nimekuwa nikiingia jf...
Wakuu haya mambo ya kisasa bora kuuliza nawezaje iwezesha kadi yangu ya ATM ilipe kwa Mastercard au PayPal hivi vitu nina ujinga mwingi. Any explanation will be of help.
Habari wana JF!
Kuna hili lakulifahamu tunajua wote ni namna gani tunapata tabu kutafuta movie kwa hara na HD
TUNASIKITIKA KUONA MMILIKI WA TERRARIUM TV kuifungia app hiyo
Kama mpenzi wa movie...
Hello everyone!
I have a problem with my Alcatel x080s modem(dongle?) branded as STC and i need your help.i don't know if i can use this thread to make my requests or whome i should send it as a...
Kazi yake kupakua application zile za kulipia playstore unakuwa unapata for free utafanikisha karibia zote..
Download Blackmart Alpha free (for android)
naongezea GET APK MARKET Download APK -...
Msaada:
Naomba kujua Brands nzuri za Water Pump, Gharama zake kwa maana ya bei na upatikanaji wa vipuri vyake! Pia ningependa kujua wapi zinapatikana kwa nyie wa DSM huko! Nipo Kibakwe huku!
Nahitaji kununua simu ya Samsung J7 hapo kesho.
Kabla ya kununua naomba mbinu ya kufahamu simu orijno maana maeneo hayo mi sina utaalamj.
Natanguliza shuleni zangu kwenu nikiamini wataalamu na...
Habari wapendwa
kwa anaefahamu setting za android smartphone
Nataka kudownload app play store inaniambia app pending n wala sidownload kitu chochote
tatizo nini wakuu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.