Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Itatokea mara chache ambapo utataka kuangalia TV kwenye kompyuta au simu. Kuna kipindi uko mbali na tv yako, iwe hotelini au ugenini na una kompyuta karibu. Pengine upo nyumbani na tvinatumika...
6 Reactions
31 Replies
15K Views
Nimeshindwa kudownload vitu especially movie kweny TV yang,..pls naombeni msaada namna ya kufanya
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Msaada wa Instagram Instagram yangu inaandika
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Salamu wana jamvi/jukwaa ni vyema kujifunza na kuielewa technology hii kifupi niseme ndani ya uzi huu hatutajifunza language yoyote inayoendana na kazi hii ila ukiwa na swali waweza uliza na wadau...
5 Reactions
27 Replies
5K Views
Habari Wakuu Kama kichwa kinavosema, Nina flash yangu nikiweka kwa computer inaonesha, "This device is write-protected " inayo nyimbo ndan na zinacheza vizuri tu, ila hazifutiki Wala kuformat...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Tempo Run2, Spider man 2 Amizing Need for Speed. Weka na ww Unayoijua
2 Reactions
446 Replies
72K Views
Wakuu nina simu ya samsung sasa baadhi ya picha nilizifuta miaka miwili iliyopita Je kuna uwezekano wa kuzirecover?
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari za mihangaiko ndugu zanguni,Nahitaji kujua mahali yalipo maduka yanayouza simu janja aina ya Nokia,sana sana kuanzia Nokia 6,7,7+,8 sirocci,kwa upande wa kanda ya ziwa au Arusha na moshi...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu mwenye expirience na hii smartphone ya nokia 6 , hasa kwenye betri, android, na mfumo mzima wa interface. Maaana inauzwa so hatj msaada wa mawazo. Hasa nijue ubora wake kbla ta kununua ...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Nna 180, 000tsh. Naweza kupata tecno ya aina gani dukan? Ahsanten.
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Tanzania Security Lists (passwords, usernames, e.t.c.), are lists locally based in Tanzania. This lists may help InfoSec Experts in Tanzania when perfoming pentesting. Any positive contribution to...
1 Reactions
0 Replies
602 Views
Wasalaam,kama kichwa kinavyojieleza.Simu yangu tajwa hapo juu iliandika hiyo meseji na siwezi kufanya chochote.Sasa watalaam hapa naomba msaada wenu kama kuna uwezekano simu hii inaweza kupona au...
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Au juu upande wa kulia kinakuja kiduara cheus utakiona hapo kulia juu
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Makundi ya mitandao ya kijamii ya WhatsApp huwa yanawasilisha umoja wa watu kuwa na malengo yanayofanana. Lakini hali inakuwa tofauti kwa sababu inaonekana kwamba wengi wanashindwa kufuata...
0 Reactions
6 Replies
947 Views
Nimevutiwa sana na simu za iPhone hasa iPhone 6+ ila sijawahi kuitumia nimekuja kwenu mliowahi kutumia mnijuze mamba machache (a) naomba kujua kuhusu ukaaji wa chaji (b) naomba kujua ubora wa...
1 Reactions
42 Replies
12K Views
Wakuu habari? Kama heading inavyosema, kati ya worldfence na itheme ni ipi plugin nzuri kwa security hasa kwenye wordpress website? Nawasilisha mada!!
0 Reactions
13 Replies
966 Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. kila nikijaribu kununua kitu Online hususani mtandao wa Aliexpress majibu ninayopata ni haya "For security reasons this process can not be continued...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
wazindua simu ijulikanayo BQ Aquaris E4.5 na inapatikana kwa 169.90€source:Ubuntu on phones | Ubuntu SPECIFICATION 4.5-inch 540x960 touchscreen 8 MP rear camera with dual-LED flash 5 MP...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
leo mida ya saa moja line yetu ya transfomer ilionekana kama ina hitilafu maana taa zilikuwa haziwak pamoja na vifaa vingine vya umeme, ila kabla ya kupata hitilafu nilikuwa nimeacha simu kweny...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Simu yangu Tecno Camon C9 headphone jack imezama au kukatika, ninapoweka earphone sauti haitoki au wakati fulani inatoka kwa kukatikakatika,je inatengenezeka na kama ndiyo fundi wa kutengeneza...
1 Reactions
0 Replies
4K Views
Back
Top Bottom