Wana bodi wataalam wa maswala ya computer...computer yangu inatafuna sana mb ata bila ya kufungua site yeyote..
Nadhani kuna vitu vinajiupdate automatically nifanyeje kuzuia hili jambo...
Samahani wanajukwaa nimepatwa na tatizo la external harddisc inaukubwa GB 7500 yangu kuanguka na kusabisha kutokusoma. Nimewaona mafundi kadhaa sijapata msaada wowote. Kwa mwenye ufahamu plz...
jamani naombeni msada sehemu ya kusoma cd kwenye pc yangu imepotea ghafla tu ata kwenye driver nikiangalia haiko cjui nn tatizo ila mlango unafunguka na kufunga bila matatizo
Kwa miaka mingi nilisumbuka sana kutafuta matangazo kwaajili ya blog na sasa nimepata matangazo ya popcash yanayolipa kwa wakati. Pia google AdSense matangazo yao yanalipa vizuri sana ila masharti...
Jioni njema Wadau popote mlipo,
Nimekubaliwa kuweka popads kwenye wordpress yangu ila nimeshindwa jinsi ya kuweka codes walizonipatia kwenye editor/header php,
Tafadhali naomba mwenye ufahamu...
Jana nime download Sony PC Companion na kuinstall ili niweze kuiupate simu yangu kwa kuwa nimezoea kufanya hivyo katika simu zangu zote hasa Nokia Phone ambazo huwa natumia mara nyingi...
Napata changamoto huku Nipo mkoani huku web designer siwaoni huku tayari nina site hii Gulio Store ya kuuza na kununua nahitaji mtu aiconvert kuwa App ila nahitaji mtu ambaye amesajiliwa na jf...
Habar wana janvi.. Nimekosea wakati na instal whatsap na kufanya registration NIME SKIP BACKUP.. naweza pata skiped backup? İli niweze pata info na chat za nyuma?
Namshukuru sana huyu jamaa kwa ujuzi na mbinu aliyoitoa hapa jf kuhusiana na kupiga hela nyingi kupitia adsense bila kuvunja sheria zao japo alinikazia sana nilipomfata PM lakini ndio alinipa moyo...
Nimekuwa niki-design vifaa mbaimbali vya electronics,this time naomba nikuletee kifaa kinacho itwa POWER DUMPER!
POWER DUMPER nimekiita hivyo kutokana na kinavyofanya kazi,ifahamike...
Habarini wana jamvi,
naomba msaada, kwa anayefahamu program itakayo niwezesha kutafsiri kitabu ambacho nimeki download kwenye simu, kama ilivyo Google Translate.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.