Naitaji kumtumia mtu app .jenaweza kutuma kwa njiaa ya WhatsApp.mana mtu uyo yupo mkoa tofauti Na nilipo au kama kuna njia nyngine .msada tafadhari
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu nawekaje voucher/pesa kwenye modem yangu ya tigo kutumia cmputer. Namaanisha pasipo kutoa line na kuweka kwenye sim
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba mniunge kwenye group la ICT kama itawezekana,napenda kujifunza zaid mambo ya Technology...Namba yang Ni 0656737883
Sent using Jamii Forums mobile app
Nina uhakika hili ni jukwaa sahihi kwa tatizo lililo nikuta.
Leo mida ya saa 6 na 15 mchana nili tuma pesa kimakosa, haikufika kwa mlengwa, ilienda kwa mtu tofauti.
Nili jaribu kuwa pigia customer...
Salaam kwenu wakuu ,tujuzane jinsi ya certify simu mfano sumsung toleo lolote make kuna kipindi mtu anataka kuinstall application unakutana na ujumbe kama huu lakini sio mbaya tukijuzana...
Habari zenu.
Naombeni msaada jinsi ya kufuta vitu moja kwa moja kwenye simu , yaani nikifuta nimefuta hata mtu akifanyaje visirudi.
Maana huwa nafuta halafu mtu baadae anavisearch vyote...
Wadau kwema,
Recently nine download pc games za kutosha katika laptop yangu. Files ziko zipped katika .rar nimetumia winzip ku unzip ila swala la kusikitisha zile files kumbe ziko encrypted...
Heshima kwenu wakuu.
Aisee hebu nisaidieni wakuu nna file ipo kwenye simu ila ni pdf file sasa nataka ni-edit kwa kutoa baadhi ya maneno na kuongeza mengine. Ni app gani nitumie ku-edit...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.