Nina Laptop Ina window 8 na Google Chrome nikiconnect internet inaconnect Vizuri kabisaa lakini nikiongia Google Chrome ili ni browse haibrowse Japo Internet ipo Strong Sana
The same Internet...
Habarini wakuu naomba msaada wa set up au website salama kwa ajiri nipate GTA VICE CITY FOR WINDOWS 7 kama una set up ile naomba niwekee hapa tafadhari au website niandikie hapa nikapakue wakuu
Wakuu naombeni kujua jinsi yakuingiza game za ps2 kwenye android yenye ppsspp bila kuzidownload.... Kwakutumia USB cable
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari za mida wakuu, naombeni msaada ni jinsi gani naweza kucheza Uefa na europa tournament kwenye hii game, maana nimejaribu lakini nimeshindwa, pia ni vipi naweza kupata wachezaji wazuri, wenye...
Wakuu salaamu
Ningependa kujua ni game gani la Pes la miaka kutoka 2015 kuja 2018 ambalo ni offline. Ikiwezekana naomba kusaidiwa link ya game.
Ahsante.
Chief Mkwawa
Mwl.RCT
Habari zenu? Naombeni mnishauri kung'amuzi kizuri na bei zake nipo Dodoma na shida na king'amuzi ila sijui kipi ni kizuri zaidi
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba kuuliza ivi ukitaka kufuta mesage ambayo umekosea kwenye group inakaa muda gani baada ya hapo option ya ku dellete all inapotea maana nimekosea nimetuma mesage kwenye group baada ya nusu...
Habari wana JF, Kwanza napenda kuwatakia sikukuu njema ya Eid Al Adha, Natumaini wote humu mnaendelea salama na mko tayari kujifunza maujanja haya.
Kwa kuanza naomba niombe radhi sana mara nyingi...
Habari wanajamvi, samahani naombeni mnisaidie app ambayo inaficha application, maana nimejaribu kuingia playstore naona nyingi zinailock tu, mimi nahitaji ambayo inaficha kabisa, yani mtu haioni...
Wakuu naomba msaada wenu katika hili...
Nina redio ya kenwood ya kupanga kubwa
Lkn mara nyingi ninapenda kuitumia katika kusikiliza mziki
Mpaka nikonnect waya ya av to audio kwenye cm ndo niweze...
Kioo cha laptop yako ya macbook kimecrack?njoo nikuuzie cover lake likiwa jipya kabisa.Bei 90,000 na maelewano yapo.
DM kwa taarifa zaidi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wana jukwaa hili pendwa
Msaada ps3 nikiiwasha inaonesha mwanga wa njano then inazima,nmeinunua mwezi ulopita na sijaiangusha wala kuigonga na mahala popote
Niliwapelekea pale dukani...
Habarini wana JF na poleni na mjukumu ya kila siku
Leo naomba msaada kwa hili, nimepakua app ya Euro truck ya kwenye Android, ni apk
ila ninapoifungua inaniambia
There was a problem parsing the...
nina pc aina ya dell inakuwa inaonesha rainbow mistari kwa lcd had inakuwa nyeusi pia baada ya muda taa ya chaja yake ikawa inawaka kama headcater (dimming) na haijachi tena ila inachaji kwenye pc...
In this guide, we’ll be showing you the way you’ll connect your Samsung Galaxy Note 9to TV easily.
The Samsung Galaxy Note 9 features a 6.4-inch Screen that is taken into account large enough by...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.