Salaam ndugu zangu nimetengeneza app nyingine kwaajili ya workout ipo playstore inaitwa MAZOEZINI app hiyo itakusaidia kujua Jinsi ya kufanya mazoezi kwaajili ya mwili wako wote kwa ujumla. Pia...
The CHROMECAST of Google is definitely one amongst the most helpful gadgets. whereas it’s true that we’ve at our disposal a number of alternatives, the Google solution is absolutely complete. And...
Wakuu habari zenu, mimi natumia simu ya zamani kidogo Sumsung galaxy grand neo ambayo android version yake ni 4.2.2, zamani niliinstall app ya dream league soccer 2017 na nilikuwa nalicheza fresh...
Naomba msaada kutatua tatizo hili.Natumia Sony Xperia z2. Nimekuwa nikiitumia miaka yote kuconnect wireless Internet kwenye pc yangu.Ila leo imegoma na kunitolea ujumbe huu hapa.
Sent using Jamii...
Double Click for Publishers (DFP) hiki ni kitu kipya kimeongezwa na google ili kuwasaidia wanaozisaka dola mtandaoni kuendelea kupiga pesa.tofauti ya DFP na Adsense ni kwamba DFP ni Ads Sever na...
wakuu habari za muda ,nilikuwa natumia pc yangu muda si mrefu then nikaizima baadae kidogo nikaiwasha tena,nilivyoiwasha naona baadhi ya mafaili yangu mengi sana hayafunguki halafu wananiwekea...
Habari members!!
Nimefuta vitu vyangu vyote kwenye smartphone yangu ikiwemo picha na video na vinginevyo Vingi kiujumla vyote,so simu ipo kama nilivyonunua kutoka dukani mafaili yako mapya...
Habari wakuu,
Kuna uwezekano mtu akahaki taarifa za mawasiliano ya simu ya mkononi hata kama ukireset simu na kuondoa app zote za kudownload pamoja na email na bado akaendelea kupata taarifa za...
Hello kwa wale wapenzi wa ku stream online au kupenda kuangalia vitu live bika kupitwa
1. MIELEKEKA (WWE)
Nenda hapo WWE Network Subscription - Free Trial login umo
email...
Habari wakuu,
Kuna uwezekano mtu akahaki taarifa za mawasiliano ya simu ya mkononi hata kama ukireset simu na kuondoa app zote za kudownload pamoja na email na bado akaendelea kupata taarifa za...
Habari wakuu,
Kuna uwezekano mtu akahaki taarifa za mawasiliano ya simu ya mkononi hata kama ukireset simu na kuondoa app zote za kudownload pamoja na email na bado akaendelea kupata taarifa za...
sumsung wamezingua simu yao ya sumsung galaxy note 9 huku ikiwa na tofauti ndogo sana na note 8 tofauti inakuja kwenye s pen na vitu vidogovidogo tu huku ikitoka na version ya 8.1 prosesa ya...
Kampuni ya vifaa vya teknolijia ya Apple leo hii inatarajiwa kuzindua rasmi simu-janja yao mpya ya aina ya iPhone 8. Simu janja hiyo kutoka katika kampuni ya Apple inatarajiwa kuleta mabadiliko...
Wataalam wa IT habari!
Wakuu nna ka pc kangu Panasonic CF W5, nilimuona jamaa akaniwekea windows 10, 32bit. Na kanapiga kaz zang kama kawaida kwani sina matumizi makubwa zaidi ya documents zangu...
Muda mrefu sana sijaleta trick za kuroot simu,sasa nimerudi rasmi. Faida ya kuroot simu wengi wetu humu ndani tunajua hata baadhi ya njia za kufanya hivyo hasa matoleo ya android chini ya 5.1...
Muda mrefu sana sijaleta trick za kuroot simu,sasa nimerudi rasmi. Faida ya kuroot simu wengi wetu humu ndani tunajua hata baadhi ya njia za kufanya hivyo hasa matoleo ya android chini ya 5.1...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.