Samsung Galaxy Note 9 is finally official. once a series of rumors, that emerged particularly in recent weeks, that allowed us to get the worth and specifications of the new product of the Galaxy...
piga namba *#61# angalia kama imeandikwa neno FORWARDED uje kuna mtu anasikiliza mazungumzo/sms zako. Na kama ikionyesha neno NOT FORWARDED basi uko salama.
Kuondoa au kumzuia mtu asiendelee...
Habari za jioni.
Nina memory yangu kila nikijaribu kufuta kitu inaandika "no permission to delete "
Nikiformat inafaa ila space inabaki pale pale na baada ya muda yanarudi yote.
Nimejaribu...
Wakuu habari za muda huu? Ninatumia Microsoft Lumia 535 (windows10 mobile) kwa mwaka wa 3 sasa, kuna kipindi waliruhusu kuinstall apps nje ya windows store kwa ku enable developer mode lakini...
Habari wana jf
Ipo hivi nilikua natumia compture HP g6 pavilion windows 10 sasa windows ikwa ina update kama ujuavyo windows 10 inaa update automatically.
Sasa nikaa update vizuri kabisaa...
Habari wakuu,
Kuna uwezekano mtu akahaki taarifa za mawasiliano ya simu ya mkononi hata kama ukireset simu na kuondoa app zote za kudownload pamoja na email na bado akaendelea kupata taarifa za...
Muda mrefu sana sijaleta trick za kuroot simu,sasa nimerudi rasmi. Faida ya kuroot simu wengi wetu humu ndani tunajua hata baadhi ya njia za kufanya hivyo hasa matoleo ya android chini ya 5.1...
wakuu nilijaribu kusoma pascal programing miaka ya nyuma, sikuweza kuendelea nayo na kwa bahati mbaya ninamdogo wangu kafuata mkondo huo katika pitiapitia kakutana na nondo zangu za pascal...
Habarini wakuu ! Hili nahisi ni tatizo kubwa sana kwa watu wengi hapa nchini ... Nlikuwa naomba kujua kama kuna internet ya mtandao wowote ambayo ni ya kuchakachua au halali ambayo unaweza pata...
Habari ya majukumu wadau wa tech. Nina simu yangu ya batani inaitwa nokia x2-02. Sasa housing yake imeharibika sana coz ni ya tangu mwaka 2014 lakini yenyewe bado ipo vizuri na uwezo wake upo...
Kuna watu ukiwaambia maswala ya kucheza game atakuambia hayo maswala ya kucheza game ni watoto tu. lakini wanasahau kwamba watu wanaotengeza hayo magame ni watu wenye akili nyingi sana.
Mm ni...
Nahitaji Betri ya CompaQ CQ 56, wireless keyboard + Mouse complite. Na Ram DDR3 ya Desktop iwe 1 au 2 GB uwe Dar, Bishara kesho.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ningependa kujua hv tutoria ipi ambayo nitaweza kudesgin web kwa html na css au unalipia kwanza wordpress ndio unadondosha code?.
please kama haufahama sivyema ukaleta maneno ya kejeli!
habar wanajamvi! kwa yeyote anayefaham tofaut kati ya smart tv na smart android tv naomba anifahamishe maana nimekuwa nikitatizwa sana na tofaut ya maneno aya, unakuta baadhi ya flat wameandika tv...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.