Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Habari zenu wakuu, Nilikuwa naomba kujua upi ni mbadala mzuri wa Google Adsense kwa site zetu za kiswahili.
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Naomba mwenye link ambayo naweza kudownload vga drivers za dell d630 for W7 bila matatizo anipatie, maana napata tabu sana. Mwl.RCT
0 Reactions
8 Replies
914 Views
Heshima kwenu nyote. Naomba msaada wenu, natumia Dell latitude E6400 na window 8.1 lkn imekua haitaki kabisa kuunganishwa internet kwa WiFi. Mwanzoni hili tatzo halikuwepo na lilipoanza tu...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Hivi kuna mtu aliwai kutumia huu mtandao wa matangozo kwa site/blog bongo na ads zikaonekana ?
0 Reactions
4 Replies
963 Views
Naomba msahada jinsi ya kujiunga GB what's up, mwenye link naomba anitumie.
0 Reactions
18 Replies
14K Views
Follow this link to join my WhatsApp group: JIFUNZE MUZIKI For beginners and pro!
0 Reactions
5 Replies
14K Views
Binafsi nimevutiwa sana na gari ya aina ya BMW 3 Series (318i) na Subaru Impreza. Lakini kabla sijafikia uamuzi ni gari gani ninunue kati ya hayo mawili ningeomba ushauri wenu wana-JF hapa jamvini...
1 Reactions
56 Replies
25K Views
ni masikitiko yangu kwa TCRA yan kwa sheria zao mpya hizi ni ngumu xana kwa bloggers wadogo wadogo kukua kiukweli ni masikitiko tu kwa wale bloggers wote ambao walikua wanachipukia
1 Reactions
2 Replies
948 Views
Natengeneza platform tajwa hapo juu, Nakaribisha maswali na ushauli Cross Platform Apps Cross Browser Web Sites Cross OS Software Ni pm kama unaitaji kutengenezewa chochote apo
0 Reactions
3 Replies
727 Views
Nashindwa soma reply ya post zang nikufungua napata ujumbe "post does not exists or you don't have permission to access it!" Nsaidien Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
4 Replies
629 Views
Nina siku mbili nimenunua simu mpya aina ya ite l a31 smartphone lakini tatizo lake imekuwa inajizima n kujiwasha yenyewe randomly,inafika muda hata mawasiliano yanakatishwa katikati Nimejaribu...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Habari wakuu... Naomba msaada wa jinsi ya kuunganisha na kutumia controller pad za Power A kwenye FiFa18 kwenye PC. Nimeweka kawaida lakini hazijasoma. . Natanguliza shukrani.
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Wakuu simu yangu iliingia kwenye maji lakini niliiwahi kuitoa na ikaonyesha haina tatizo lolote,sasa hii jioni nimeweka charge haiingizi mpaka niizime na nikichomoa charge yaonyesha bado...
0 Reactions
6 Replies
848 Views
Ndugu wana jamvi, salamu. Nina laptop aina ya dell yenye windows 10 pro inatumia bando vibaya saana. Nimejaribu ku deactivate updates zote zinazoweza kufanyika automatically lakini sijafanikiwa...
4 Reactions
39 Replies
6K Views
Kama kichwa cha habari hapo juu kinavosomeka. Laptop yangu DELL INSPIRON 14-3452 nikiiwasha inaleta huo ujumbe na inanipa options za [ f1 retry boot] [f2 for setup utility] na [f3 to run onboard...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
How to Unroot Android Rooting your device can give you a lot more control over it, but it also will usually void your warranty and make repairs a hassle. Luckily, you can quickly unroot most...
0 Reactions
0 Replies
656 Views
Huu ni uzi kwa ajili ya #AvGeeks wote
0 Reactions
3 Replies
553 Views
Ndugu habari zenu,naomba msaada nipate data recovery software ya bure au crack ili niweze ku recover files zangu za kwenye recycle bin
1 Reactions
19 Replies
3K Views
Wakuu mimi ni mwanafunzi nategea kuzama chuo, so nahitaji usaidizi wa tablet nzuri hasa kwa ajili masuala ya chuoni. Kuna tab nimeiona kwenye mtandao wa www.jumia.com ni ccit iOS one , sikuwa na...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Hbr za leo wakuu. Naomba kupata msaada wa namna ya kutengeneza Camera ya simu yangu aina ya Samsung Galaxy A8. Kwa ss nikifungua Camera yake inasema "Warning. Camera failed" Lkn nikiweka simu...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Back
Top Bottom