Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
wakuu nimejaribu ku search lakini sijaona uzi unaozungumzia hii issue ya kununua laptops na sim online. nataka kununua laptop moja lenovo x270, soko la bongo hapa kariakoo nilziona duka moja pale...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Msaada wa Fundi wa Computer Aliyekuwepo Dar ...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Mwaka 2013 nikiwa chuo kikuu kimoja jina kapuni katika kumalizia Masters yangu tulimpata jamaa mmoja jina limenitoka,alikuja na mpango mzuri wa kuunganisha Free Yotube streaming bila gharama...
2 Reactions
43 Replies
4K Views
Leo nimetembelea sehemu ya mbagala na viunga vyake hakika nimeipenda mbagala, maisha ni rahisi sana, na hakuna gharama ya vyakula, mihogo ya kukaanga, chips,matunda, kuku, samaki,nyama, na vyakula...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Nimeattach maelezo nnayopewa naombeni mnisaidie wataalam
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Samsung A7 (2018) inakuja na feature mpya ya camera 3 na uwezekano wa bei kupungua ili kushindana na simu za kichina. Lakini Samsung katika siku za hivi karibuni, imeshambuliwa na ushindi kutoka...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Ndugu zangu naomba kusaidiwa ama kuambiwa ni nini hiki au nifanyeje ili kutatua maana imekuwa ni kero kwangu juu ya laptop yangu. Model - Lenovo G 580 Windows- windows 7 Tatizo hili hutokea pale...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
wadau! masaada, hivi kuna njia au uwezekano wakubadili IP adress ya simu bila ku restore au ku flash simu? wajuzi wa haya mavitu ningependa kufahamu hili
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Please waungwana naomba msaada wa kupata IMEI namba katika simu.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakuu salamu kwenu.!!Naomba kujulishwa duka linalotoa huduma hii kwa dar-es-salaam niweze kurepair tv yangu iliyoungua screen....ukiweka na bei ya gharama zote mpaka tv itengamae nitakushukuru...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu habarini za Muda. Mimi ni Member mgeni japo si sana. Nina budget ya Milion moja. Natàka kununu Simu nzuri . Naombeni Mnishari simu nzuri kwa Experience yako na wapi naweza kununua. Na vipi...
2 Reactions
97 Replies
9K Views
Wakuu mwenye kujua namna ya kuhack account ya insta anipe maujuzi
1 Reactions
27 Replies
6K Views
Habari ya saa hizi wanajamvi.. naomba msaada wa jinsi ya kuipata App ya Tala na Branch na pia matumizi ya hizo App.
0 Reactions
30 Replies
8K Views
Nimeona kwenye group mdau kashare jinsi alivyotapeliwa na jamaa anaeitwa haji seleman mwenye number 0715462543, analia lia kwa uchungu,hivi TCRA mko wapi mpka mtu anajitambulisha kwa jamii kuwa...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wakuu nimekaa na kufikiria nikaona bora nikaanzisha blog ambayo itahusisha miziki pamoja na muvi hususani season. Je kwa hili wadau na weza toboa hata kwa kiasi kidogo cha fedha
0 Reactions
4 Replies
761 Views
Mwenye kujua jinsi ya kuongeza follower insta anijuze hata DM akiweza lakini sio Yale mafollower ya kiarabu yasiyo na maana kikubwa sana ni wabongo wenzangu.
0 Reactions
4 Replies
614 Views
Habarini wanajukwaa.. kwenye pita pita zangu mtandaoni nimekutana na tangazo hili katika Page ya Facebook ya Tigo (Kama inavyoonekana kwenye Picha). Tigo inadai kuwa mtandao wa pili (Ingawa mpaka...
0 Reactions
19 Replies
5K Views
naomba msaada wa kufahamu apps kurunning background kwenye simu zinazotumia mfumo wa android nougat ukishaenda setting,apps,data usage,je pale kwenye neno background data unapaweka on yaani kuweka...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Wadau napenda kufahamu hivi makampuni ya nje kwa nini yasiuze internet hapa bongo?? nini kikwazo?? nakitaalamu limekaaje hili maana internet nibiashara kubwa kama ni possible kufanyika...
1 Reactions
15 Replies
3K Views
Back
Top Bottom