Checkini hiyo picha hapo
Jee inawezekana kwa cc wa mikoani na tukapata channels za kutosha?
Kwa wastani mtu aliyefunga hivyo anaweza kupata jumla ya channels ngapi?
Watumiaji wengi wa iPhone wamekuwa wakikumbana na tatizo la kufutika kwa data na nambari za simu zilizohifadhiwa.Kwa kawaida, programu mpya ya usasishaji inapoingizwa na kuendeshwa na Jailbreak...
Habari wana jamvi . samahanini sana pc yangu imezima ghafa tuu . ni kwa mda sasa haitumiki mara kwa mara. Ni deli na ina run dual operating system window ten na ubuntu . sasa imezima haiwaki ...
wakuu kuna jamaa zangu wametengeneza hii app ya kutoa taarifa za dawa kwa watumiaji.
https://play.google.com/store/apps/details?id=tzdawa.app.mwakalonga.dawa
Habari zenu wasomaji wa makala zetu, Leo tunelezea jinsi ya kuunda whatsapp link invite Group ambalo sio jambo geni sana kulisikia Kama unataka kuunda/kutengeneza link ya
kujiunga katika Group...
Jamani kama kichwa cha habari hapo juu, natengeneza na kuuza nauza food ordering and delivery System kwaajili ya wamiliki wa restaurants na Migahawa . App hiyo inawezesha wateja wako kwa kutumia...
Kama nilivyoeleza hapo juu naomba kwa mwenye software na stock rom file ya samsung galaxy note4 sm-n910t T-mobile usa. Au anipe link ya kudownload bure aksante
wakuu natumia samsung note 8 shida yangu sasa ni kuwa nikiweka laini ya halotel napata ujumbe unasema USIMCARD REMOVED RESTART UR PHONE na automatical inajirestart yenyewe but kwa lain zingine...
Habari wakuu nahitaji box ya kuflashia simu iwe miracle box au Volcano, pia kama ikipatikana nyingine inayoweza kusupport simu zenye chipset ya mtk, spd, etc.
Box iwe mpya au used, location...
Wanajamvi napenda nifahamishwe kitu kimoja. Hua natengenza tutorial za screen capture kwenye laptop yang natumia program ya Webcam Au cyberlink ambayo ina uwezo huo lakin tatizo lipo kwenye sauti...
Heshima kwenu Wadau wote wa Mtandao huu wa Jamiiforum popote mlipo. Kwa muda mrefu nilikuwa nikitengeneza Website itakayohusika na masuala ya Engineering ambayo walengwa hasa ni Wahandisi...
Habari wakuu nimekuja na trick mbele yen Ni jinsi ambavyo utaweza kuangalia videos YouTube free bila kuwa na data trick Hii inafanya kazi kwa watumiaji wa mitandao yote gharama Ni nafuu 15000...
Wordpress in moja kati ya mifumo kadhaa tofauti ya kusimamia maudhui ya tovuti na blogu.Wordpress in mfumo ambao ni bure kutumia kwani unatengenezwa na watu wanaojitolea kwa kuboresha mfumo huo na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.